Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Nilitaka kuanzisha uzi...asanteVilabu vikubwa vyenye hadhi Africa vimecheza siku ya leo michuano ya CAFCL.
FT:Kabyile 0-1 Esparance.
FT:Simba 1-0 Wydad AC.
Mechi zinazoendelea kuchezwa muda huu ni Al ahly Vs Raja Casablanca.
CR beoulzdad Vs Mamelody.
mataahira hao awajielewi.Mamelodi kashampelekea muarab pumzi ya moto, na yupo ugenini.... halafu utasikia kuna wehu wanakuambia Simba kumfunga Waydad goli moja tayari katoka....
half time Al ahly 1-0 Kabyile.Matokeo yakoje hadi sasa
Mechi ipi na ipi?Bingwa atapatikana kwenye hizo mechi mbili za muda huu
Hizi mechi mbili za saa nne hii,mamelod,alahly,raja..Mechi ipi na ipi?
mpira ni dk 90 lakini kwa jicho la mbali Mamelody anabeba ndoo msimu huu.Hawa Mamelodi Wana mpango gani , mbona wanatishia