Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hawa Masandawana wangetunyoa kwa Mkapa wako moto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu wahi hosp hii si dalili nzuri kwa afya ya akiliSimba je?
Atatwaa kiatu cha mfungaji boraShalulile anapiga goli lake la pili hapa...goli lake la 6 ktka mashindano
Cr belouizdad 1-3 Mamelodi
51' Shalulile
kuna mwehu uzi flani aliwahi mfananisha chama na huyo mwamba nikaona kuna watu wamerogwa walahShalulile anapiga goli lake la pili hapa...goli lake la 6 ktka mashindano
Cr belouizdad 1-3 Mamelodi
51' Shalulile
Yule mzimbabwe Shalulile ni hatari sana...Dk chache tu mtu kala mbili..... Sundowns ni ya moto
Huyo mzim NI HATARI MAN HATARI SANA...kuna mwehu uzi flani aliwahi mfananisha chama na huyo mwamba nikaona kuna watu wamerogwa walah
Chama yupo juu zaidi ya shalulile....hilo lipo wazikuna mwehu uzi flani aliwahi mfananisha chama na huyo mwamba nikaona kuna watu wamerogwa walah
MnamibiaYule mzimbabwe Shalulile ni hatari sana...
alisikika mlevi mmojaChama yupo juu zaidi ya shalulile....hilo lipo wazi
mchezaji 1 wa mamelod ana thamani ya kikosi kizima cha nyau, alafu unataka fananisha ushindiKama ndugu zetu Mamelodi wameweza kumpulizia pumzi ya moto mwarabu akiwa kwake basi bila ya shaka Simba atashinda ugenini dhidi ya Wydad inshAllah
Umesahau kuwa nyau alikukanda mbili hata siku 7 za fungate hazijaishamchezaji 1 wa mamelod ana thamani ya kikosi kizima cha nyau, alafu unataka fananisha ushindi
umejaza wachezaji wa mia mia ukashinde kwa wydad unaota