K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Anaongoza 2 bila, yuko sehemu salamaAl Ahly anajiwekea wakati mgumu sana kwenye second leg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaongoza 2 bila, yuko sehemu salamaAl Ahly anajiwekea wakati mgumu sana kwenye second leg
Jitahidi upite nusu fainali utaelewa nini namaanishaSimba je?
Wewe si ulisema Mamelodi Sundowns wapo overrated?Hawa Masandawana wangetunyoa kwa Mkapa wako moto sana
Na VAR ipo🤣🤣africa ni wapi??Hili goli la 2 la Al Ahly mfungaji ali unawa mkono na refa hakuona lkn kaita kati ..
Ingetokea bongo hii wale wachambuzi hasa hasa wa wachafu fm hasa hasa yule george lazi + edo wange shikia bango.mnooo
Sijaona kwenye michuano hii msimu huu wa kuwazuia Mamelod, tumsubiri fainaliMamelodi Sundowns wenyewe wanajiita Masandawana.
Wanapenda kujulikana kama Brazil ya Africa. Kama ilivyo kwa timu ya taifa ya Brazil, wakiwa nyumbani huvaa Tshirts za njano na bukta za blue.
Wakiwa ugenini wanavaa tshirts za blue na bukta nyeupe kama ilivyo kwa timu ya taifa ya Brazil.
Wako vizuri sana ndani na nje ya uwanja!!
Mimi zim na namibia naonaga sawa ndio mana nimechanganya zote ni south... Ila huyo kenge ni katili sanaNi Namibia boy sio Zimbabwe
ndo ivyo vijana wa Motsepe ni moto.Sijaona kwenye michuano hii msimu huu wa kuwazuia Mamelod, tumsubiri fainali
Si ni kama game ya simba tu ile rafu alichezewa Saido ile kiukweli ilikuwa ina stahili umeme maana jamaa alimpiga saido ..Na VAR ipo🤣🤣africa ni wapi??
Mh hawa Raja wana weza wakazuia huyu jamaando ivyo vijana wa Motsepe ni moto.
kuna yule mapafu ya mbwa Marcelo Allende raia wa Chile dogo anapiga mido mpaka anakera.
tusubiri tuone.Mh hawa Raja wana weza wakazuia huyu jamaa
Anayetoka na anayeingia wote ni matatizo kwa timu pinzanindo ivyo vijana wa Motsepe ni moto.
kuna yule mapafu ya mbwa Marcelo Allende raia wa Chile dogo anapiga mido mpaka anakera.