uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Mashabiki wa hii team Kuna kitu wanajua sisi hatujui maana hawapoiMashabiki wa belouizdad wanashangilia kama wao ndio wanaoongoza
Halafu viwanja viko north afrika huku kwetu tuna mashamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki wa hii team Kuna kitu wanajua sisi hatujui maana hawapoiMashabiki wa belouizdad wanashangilia kama wao ndio wanaoongoza
HaiwezekaniMh hawa Raja wana weza wakazuia huyu jamaa
Mmk warabu hawaelew wakabe wapi jamaa wanakuja kinomaMpira wa Mamelody una speed sana
Hakuna timu ya kucheza na mamelod hata mashibdano yangeanza upyaSijaona kwenye michuano hii msimu huu wa kuwazuia Mamelod, tumsubiri fainali
InshaAllahKama ndugu zetu Mamelodi wameweza kumpulizia pumzi ya moto mwarabu akiwa kwake basi bila ya shaka Simba atashinda ugenini dhidi ya Wydad inshAllah
Al Ahly ni kama Real madrid kadri anavyozidi kusonga mbele ndivyo anavyozidi kuwa mgumu zaidi kufungika. Mpira alionesha Raja kwenye group stage, tulitegemea angetoa ushindani mkubwa kwenye mechi ya robo fainali ila ndio hivyo kala chuma mbili. Ana kazi kubwa sana ya kupindua matokeoHakuna timu ya kucheza na mamelod hata mashibdano yangeanza upya
Hawezi kubeba ndoo.mpira ni dk 90 lakini kwa jicho la mbali Mamelody anabeba ndoo msimu huu.
Angalia team anazozishinda kabla haujaropoka, unadhani huko kuna Bamako?mnyonge yupo
hatua hii simba ni mnyonge hata akipita ni kwa bahati sio kwa uwezo wake
Mamelod hachukui huu ubingwa.Hakuna wa kumzuia Mamelodi msimu huu
Raja ipi?Raja ni wazuri sana kuliko ndugu zao Wydad kwenye msimu huu.
Mkuu tactics na Technic za mechi zinatokana na resource ulizona ambao ni wachezaji,huwez kua unacheza na mualabu ana winga zinakimbia kuliko beki zako alafu uruhusu mabeki zako wawe juu mda mwingi mtaumia,..na hii ndo kazi ya kocha kumsoma mpinzani kujua strength zake na weekness alaf unachambua na zako llili ujue utamkabili vipiTimu yetu ya Simba sc inatakiwa itumie sana full backs katika mashambulizi...nimecheki hizi timu za robo fainali ...huwa zinapopanda kushambulia basi fullbacks huwa ni sehemu ya mashambulizi tofauti na sisi...timu inashambulia ila utaluta kina kapombe na shabalala wapo nyuma..au full back anapewa pasi hajui wapi apige cross au v-pass...na akipiga cross utakuta amebutua tu bila kuwafikia walengwa
aisee niliiangali mechi ya al ahly na raja,ilikuwa nzuri sanaVilabu vikubwa vyenye hadhi Africa vimecheza siku ya leo michuano ya CAFCL.
FT:Kabyile 0-1 Esparance.
FT:Simba 1-0 Wydad AC.
Mechi zinazoendelea kuchezwa muda huu ni Al ahly Vs Raja Casablanca.
CR beoulzdad Vs Mamelody.
Mbona unatumia nguvu kutuaminisha ujingaHawezi kubeba ndoo.
La kwanza pia.ni offside kabisaHili goli la 2 la Al Ahly mfungaji ali unawa mkono na refa hakuona lkn kaita kati ..
Ingetokea bongo hii wale wachambuzi hasa hasa wa wachafu fm hasa hasa yule george lazi + edo wange shikia bango.mnooo
Ingekua taifa jana lingekataliwaNa VAR ipo🤣🤣africa ni wapi??
VAR kwa Africa bado bado sana, msimu uliopita Simba walilalamika sana kule Africa kusini kwa kitotendewa haki na maamuzi. Jana pia uwanja wa Mkapa ilitokea tukio lililolazimika kuangaliwa kwenye VAR. Kwa mechi za ulaya tunaona wanaangalia kwanza tukio la kwanza kisha wanakuja kwenye tukio la mwisho. Kabla ya faulo ambayo ilikuwa inapelekea kuwepo au kusiwepo kwa penati, kulipaswa kuangaliwa kwenye hiyo hiyo move kama aliye receive mpira kama yupo onside position au offside position. Lakini VAR imeenda kuhukumu tukio la mwisho kabisa la fauloIngekua taifa jana lingekataliwa
Kama mimi ni mjinga, wewe unaetumia nguvu kutuaminisha yale ambayo bado hayajatokea uitwe nani?Mbona unatumia nguvu kutuaminisha ujinga