ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Narudia tena hakuna timu ya kumfunga Mamelodi Sundowns msimu huuMkuu acha kukariri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia tena hakuna timu ya kumfunga Mamelodi Sundowns msimu huuMkuu acha kukariri
Ww cheka tuu nilitaka mjee mjaeee[emoji23][emoji23]nmecheka kama chizi wanacheza vp fainali wakati wapo njia moja, na hio Sound down ni timu gani?
Sina roho mbaya kwa watoto wazuri kama wewe[emoji1666]Ww cheka tuu nilitaka mjee mjaeee
Kamati ya rohombaya
Ni sundown najuaa nimeamua tuu
Mmhhh, Al ahly vs ....half time Al ahly 1-0 Kabyile.
half time Belouilzdad 1-2 Mamelody.
SawaaaaSina roho mbaya kwa watoto wazuri kama wewe[emoji1666]
We kumbe kaizi kabisa, niletee takwimu za PL mechi kati ya Simba Sc na Yanga baada ya ile ambayo Simba Sc alishinda 1-0 (2019).3 za wap
ama unajumuisha na kombe la azam nasemea ligi boss wangu na timu yako mbovu
Tumeshatoka kwenye mashindano yako uliyoandaa wewe, ile kwenye haya ya CAFCL Simba Sc bado ipo.Watu mme changanyikiwa kwa akili zenu mna jilingan8sha na memelodii huo ndo ukweli nyie ni under dog tu na msha toka ijumaa sio mbar
Al ahly Vs Raja.Mmhhh, Al ahly vs ....
Huko nasikiaga wenye akili wapo wawili tu,hata takwimu hawazielewiYani hizi story za Yanga kumfunga Simba sijui zimetoka wapi..kibaya zaidi na watu wamezimeza...
Hao mamelondy kila mchezaji wao kwani ana miguu mingapi,macho mangapi hadi tuwaogope?Haya mkuu kama yetu itakua tuu..