mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Katika hiyo miaka 4 simba kashinda 3,yanga 2 na sare zilizobakia,au wewe ni edo?baada ya miaka 4 tena kwa kuloga mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hiyo miaka 4 simba kashinda 3,yanga 2 na sare zilizobakia,au wewe ni edo?baada ya miaka 4 tena kwa kuloga mvua
Huyu raja apigwe tu!pumbavu sana huyu.Hapo fresh sasa kwenye marudiano hawezi kuwa na kazi ngumu
Hivi mkuu unadhani mamelod sundowns akikutana na Al ahly finally huyu mjukuu wa madiba anatoka????Hakuna wa kumzuia Mamelodi msimu huu
VAR unajua Iko nchini Gani mkuu???Na VAR ipo[emoji1787][emoji1787]africa ni wapi??
Akutane nae mara ngapi ili uamimi kama ana mmudu?Hivi mkuu unadhani mamelod sundowns akikutana na Al ahly finally huyu mjukuu wa madiba anatoka????
Unaishi kwa kukalili endelea kukaza shingoMamelod hachukui huu ubingwa.
Js kabyle na raja unawachukulia poa.Mamelod, Al Ahly na Es Tunis wameshafuzu. Ni timu moja pekee ndio inayosubiriwa ya kuungana na hao.
Al ahly wa kwenye makundi syo wa finally Sasa hata hivyo kwa utabiri Wang mamelod sundowns anaweza akakutana na waydad Casablanca/Simba halaf Al ahly anakutana na esperance tuone Moto utakavyowaka wakutane finally ndo utajuaAkutane nae mara ngapi ili uamimi kama ana mmudu?
Unaishi kwa kukalili endelea kukaza shingo
Msimu uliopita au wa juzi (sina kumbukumbu vizuri), Mamelod alikuwa moto hivihivi akampiga nyingi tu Ahly. Baadae wakakutana kwenye nusu fainali Mamelod akatolewa na haohao Ahly.Al ahly wa kwenye makundi syo wa finally Sasa hata hivyo kwa utabiri Wang mamelod sundowns anaweza akakutana na waydad Casablanca/Simba halaf Al ahly anakutana na esperance tuone Moto utakavyowaka wakutane finally ndo utajua
Kwamba Raja ataenda kushinda goli tatu?Js kabyle na raja unawachukulia poa.
Mmemfunga nini? Leta takwimu hapa kwa hyo miaka 4 au ndo kufata upepo unapovuma? Mechi zimaejaa sare Simba kawakanda mara 3 na yanga mara 4 au 5 sasa hapo ndo useme kuhangaika? Hahahahhahbaada ya miaka 4 ya kuhangaika hadi leo hamuamini
Mashabiki wa hii team Kuna kitu wanajua sisi hatujui maana hawapoi
Halafu viwanja viko north afrika huku kwetu tuna mashamba
iyo timu moja inayosubiriwa itakua kati ya Simba Vs Wydad.tusubiri tuone je'Simba atatikisa Dunia kwa kung'oa kisiki!Mamelod, Al Ahly na Es Tunis wameshafuzu. Ni timu moja pekee ndio inayosubiriwa ya kuungana na hao.
Hamna hao ngozi nyeusi tunajuana... 😄 😄 😄Hawa Masandawana wangetunyoa kwa Mkapa wako moto sana
sawa👍Hawezi kubeba ndoo.
3 za wapMmemfunga nini? Leta takwimu hapa kwa hyo miaka 4 au ndo kufata upepo unapovuma? Mechi zimaejaa sare Simba kawakanda mara 3 na yanga mara 4 au 5 sasa hapo ndo useme kuhangaika? Hahahahhah
Umemaliza hapo ndipo simba tunachemka sana.Timu yetu ya Simba sc inatakiwa itumie sana full backs katika mashambulizi...nimecheki hizi timu za robo fainali ...huwa zinapopanda kushambulia basi fullbacks huwa ni sehemu ya mashambulizi tofauti na sisi...timu inashambulia ila utaluta kina kapombe na shabalala wapo nyuma..au full back anapewa pasi hajui wapi apige cross au v-pass...na akipiga cross utakuta amebutua tu bila kuwafikia walengwa
Watu mme changanyikiwa kwa akili zenu mna jilingan8sha na memelodii huo ndo ukweli nyie ni under dog tu na msha toka ijumaa sio mbarMamelodi kashampelekea muarab pumzi ya moto, na yupo ugenini.... halafu utasikia kuna wehu wanakuambia Simba kumfunga Waydad goli moja tayari katoka....
Ndio hyo hyo ligi hebu leta takwimu boss3 za wap
ama unajumuisha na kombe la azam nasemea ligi boss wangu na timu yako mbovu
Sasa mnabeki zip za kati na viungo wa kuzuia Counter ? kama siku hizo Full back za simba zikijaribu mnachokisema mtapigwa nyingi mnoo...Umemaliza hapo ndipo simba tunachemka sana.