Mechi kati ya Al ahly Vs Raja na CR Beouilzdad Vs Mamelody

Mechi kati ya Al ahly Vs Raja na CR Beouilzdad Vs Mamelody

Kikosi cha Mamelody wanaokipiga siku ya leo ni wachezaji wawili tu ndio wageni Boutoul Raia wa Moroco na Shalulile Raia wa Namibia wachezaji tisa waliobaki wote ni wazawa.

vivyo hivyo kwa Bouilzada wachezaji wawili Iwuala ni raia wa Nigeria na Laurent Wamba ni raia wa Cameroon wachezaji tisa waliobaki ni wazawa.
 
Kikosi cha Mamelody wanaokipiga siku ya leo ni wachezaji wawili tu ndio wageni Boutoul Raia wa Moroco na Shalulile Raia wa Namibia wachezaji tisa waliobaki wote ni wazawa.

vivyo hivyo kwa Bouilzada wachezaji wawili Iwuala ni raia wa Nigeria na Laurent Wamba ni raia wa Cameroon wachezaji tisa waliobaki ni wazawa.
Njoo simba na yanga sasa
 
Vilabu vikubwa vyenye hadhi Africa vimecheza siku ya leo michuano ya CAFCL.

FT:Kabyile 0-1 Esparance.
FT:Simba 1-0 Wydad AC.

Mechi zinazoendelea kuchezwa muda huu ni Al ahly Vs Raja Casablanca.
CR beoulzdad Vs Mamelody.
Dah
 

Attachments

  • Screenshot_20230422-233522.png
    Screenshot_20230422-233522.png
    21.6 KB · Views: 3
Mamelody na Wydad wote ni same level

Ukiangalia H2H kwenye michezo 10 waliyokutana utaona Mamelody kashinda mechi 3 wakati Wydad kashinda mechi 4 halafu draw ni 3
Unawaangalia Mamelodi wanachofanya?
 
Back
Top Bottom