Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Belouizdad 1-2 mamelodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raja ni wazuri sana kuliko ndugu zao Wydad kwenye msimu huu.Hizi mechi mbili za saa nne hii,mamelod,alahly,raja..
unamfananisha mamelod na simba umerogwa weweMamelodi kashampelekea muarab pumzi ya moto, na yupo ugenini.... halafu utasikia kuna wehu wanakuambia Simba kumfunga Waydad goli moja tayari katoka....
umesahau na Simba waweke hapo.Hizi mechi mbili za saa nne hii,mamelod,alahly,raja..
mpira auko ivyo bwashee hatua iyo ya nane bora akuna mnyonge.unamfananisha mamelod na simba umerogwa wewe
Au sioumesahau na Simba waweke hapo.
mnyonge yupompira auko ivyo bwashee hatua iyo ya nane bora akuna mnyonge.
ndio ivyo dk 90 ya uwanjani lolote linatokea kwani wewe aujacheza mpira au hata aujui mpira ulivyo?Au sio
Kanye ukalale..we timu yako yenye uwezo tumetoka kuikanda bao mbili za mkwezi...au ishajizima data?mnyonge yupo
hatua hii simba ni mnyonge hata akipita ni kwa bahati sio kwa uwezo wake
Basi kama umeweka neno"bahati"simamia hapo Simba anaweza kufika mbali hata kwa mlango wa bahati kikubwa atimize malengo.mnyonge yupo
hatua hii simba ni mnyonge hata akipita ni kwa bahati sio kwa uwezo wake
baada ya miaka 4 ya kuhangaika hadi leo hamuaminiKanye ukalale..we timu yako yenye uwezo tumetoka kuikanda bao mbili za mkwezi...au ishajizima data?
So wewe kulala mpka unye?Kanye ukalale..we timu yako yenye uwezo tumetoka kuikanda bao mbili za mkwezi...au ishajizima data?
hakika umenena na huo ndio mpira wa kisasa wings back wanapeleka moto kwa adui.Timu yetu ya Simba sc inatakiwa itumie sana full backs katika mashambulizi...nimecheki hizi timu za robo fainali ...huwa zinapopanda kushambulia basi fullbacks huwa ni sehemu ya mashambulizi tofauti na sisi...timu inashambulia ila utaluta kina kapombe na shabalala wapo nyuma..au full back anapewa pasi hajui wapi apige cross au v-pass...na akipiga cross utakuta amebutua tu bila kuwafikia walengwa
Mamelody na Wydad wote ni same levelunamfananisha mamelod na simba umerogwa wewe
Simba je?Hakuna wa kumzuia Mamelodi msimu huu