Mechi ya Al-Merrikh vs Yanga kupigwa Ijumaa 15/09/2023

Mechi ya Al-Merrikh vs Yanga kupigwa Ijumaa 15/09/2023

Attachments

  • Screenshot_20230914-134935.png
    Screenshot_20230914-134935.png
    62.5 KB · Views: 2
Bus ni nini? zile tuna ita school bus hua zina ukubwa gani? ndio maana tunaitwa mbumbumbu kwa kujitakia au kwako bus mpaka iwe Kimbinyiko
Ao jamaa bado hawajasema watasema mengi, kwasasa button ya kiki msemaji wa Yanga ameizima kitu ambacho hawakutarajia.
Propaganda zao zote zime kwama [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Basi simjui

Kwasababu umesema upo Kigali ebu tusaidie kuondoa utata.

Yanga wametumia usafiri gani kubeba mashabiki kati ya bus na costa?
Hizo costa timu ya simba iliwahi tumia kubebea wachezaji sasa bora kwa Yanga hizo costa zinatumika kubebea mashabiki
 

Attachments

  • Screenshot_20230914_141402_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230914_141402_Samsung Internet.jpg
    87.5 KB · Views: 2
Bus ni nini? zile hua tuna ita school bus hua zina ukubwa gani? ndio maana tunaitwa mbumbumbu kwa kujitakia
Unachokizungumzia wewe ni mazoea na sio uhalisia.

Huku mtaani hadi Noah zinabeba wanafunzi na zimeandikwa school bus.

School bus ni neno ambalo linatumika kama utambulisho tu ni kama oil station zilivyozoeleka kuitwa sheli.
 
Hizo costa timu ya simba iliwahi tumia kubebea wachezaji sasa bora kwa Yanga hizo costa zinatumika kubebea mashabiki
Kwa hiyo hizo costa tuzihesabu au tusizihesabu kwenye idadi ya mabasi 800 yanayoenda Kigali?
 
Unachokizungumzia wewe ni mazoea na sio uhalisia.

Huku mtaani hadi Noah zinabeba wanafunzi na zimeandikwa school bus.

School bus ni neno ambalo linatumika kama utambulisho tu ni kama oil station zilivyozoeleka kuitwa sheli.
Noah huwezi iitaba bus ila kuanzia Hiace mpka Yutong zote ni bus tofauti ni capacity
 
Noah huwezi iitaba bus ila kuanzia Hiace mpka Yutong zote ni bus tofauti ni capacity
Noah ni school bus huku na zinafanya kazi ile ile ya kubeba wanafunzi
 
Back
Top Bottom