Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Hahahaaaa yaan umesema utatege kuna watu washasimamisha yaani namaanisha kusimamisha magar. Hahah aaahaa ...zipo kama truck mumy ila kwa chin zinabana sio nyepesi...nililetewa na mtu ngoja nitakuulizia

Hahahhahah!! Watajiju wakiona kichaka tu mavi yanawabana vichaka vingine vina nyoka....... Hahahaha mumy hiyo niliiipata jana mahali wakati nakatiza nilicheka mpaka basi.......mumy hiyo itanifaa sana hata kwa gym pia maana ninavyojitahid kupungua sasa ndo sipungui acha tu.
 
Ayayayayayaaa mm barca ni mchepuko namba moja.....walai hata akitimuliwa na mme wake naeza kumkaribisha nyumban na njia kuu haez kumaind maana umemzidi kiduchu vigezo.

Hahahahaha!!! Mwezi 8 na ufike tu msimu ujao utatukoma.......
 

Hahahaaaa mimi ni kimbau mbau ninavyotamani tuu kunenepa jamani nakushangaa wew unaopunguza..nigee mimi mamyy
 

Hahahaha hahahahahahaha!!! Wewe cute b umeniua..... Ndo maana ulikuja unahema sana......... PNC 1 RAHA KAMILI RADHA THABITI kumbe hata hujaonja hahahahahahaha.........
 
Last edited by a moderator:

Hahahaha weeeeee siogopi....hasa kwa nyie huwa najilia tu


cute b Cardinal06 nawapa saluti na heshima nyingi ziwafikie hapo mlipo

hahahahah mkuu mm hapa nshajiwekea akiba....mwezi wa nane ni kujitusulia tuuuu....leo cure b kesho everlenk
 
Last edited by a moderator:

Hahahaha weeeeee siogopi....hasa kwa nyie huwa najilia tu


cute b Cardinal06 nawapa saluti na heshima nyingi ziwafikie hapo mlipo

hahahahah mkuu mm hapa nshajiwekea akiba....mwezi wa nane ni kujitusulia tuuuu....leo cure b kesho everlenk
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha hahahahahahaha!!! Wewe cute b umeniua..... Ndo maana ulikuja unahema sana......... PNC 1 RAHA KAMILI RADHA THABITI kumbe hata hujaonja hahahahahahaha.........

Hahahahaaa hajaaonja kitu akaondoka surual imepiga jeki balaaa. Au labla ndo Ladha thabit hahahaaaaa....nyie watu jamani nawapenda sana... nikiwa nimenuna nikiingia humu naenjoy..
Penda sana everlenk miaka 100
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa mimi ni kimbau mbau ninavyotamani tuu kunenepa jamani nakushangaa wew unaopunguza..nigee mimi mamyy

Loh!! Embu fungua Bluetooth nikumwagie hizi Neema maana zimezidi ,utanenepa tu mumy ila unenepe kidogo tu zaidi kwenye vile vilele viwili vya mlima Kilimanjaro mpaka PNC 1 na Cardinal06 wakuhonge mpaka basi!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha weeeeee siogopi....hasa kwa nyie huwa najilia tu




hahahahah mkuu mm hapa nshajiwekea akiba....mwezi wa nane ni kujitusulia tuuuu....leo cure b kesho everlenk

Hahahaaa labla sio watoto wa OT tuna sound sisi... everlenk ameshakuambia magoli tuu hayatoshi je una hela?
 
Last edited by a moderator:
Loh!! Embu fungua Bluetooth nikumwagie hizi Neema maana zimezidi ,utanenepa tu mumy ila unenepe kidogo tu zaidi kwenye vile vilele viwili vya mlima Kilimanjaro mpaka PNC 1 na Cardinal06 wakuhonge mpaka basi!!!!!

Hahahaaa umemsahau na Ntuzu japo ni kimbau mbau ivi kila wiki vocha ya elfu 10 ananitumia je nikinenepa hahahaaa
 
Last edited by a moderator:
Loh!! Embu fungua Bluetooth nikumwagie hizi Neema maana zimezidi ,utanenepa tu mumy ila unenepe kidogo tu zaidi kwenye vile vilele viwili vya mlima Kilimanjaro mpaka PNC 1 na Cardinal06 wakuhonge mpaka basi!!!!!

Aiseeeeeee na everlenk una akiliiiiiii.....nipe namba ya mmeo hapa nimpe habari njema....vile vilele ndo vyenyewe.....aviandae tuu mok mwez wa nane viwe swaaaf
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa hajaaonja kitu akaondoka surual imepiga jeki balaaa. Au labla ndo Ladha thabit hahahaaaaa....nyie watu jamani nawapenda sana... nikiwa nimenuna nikiingia humu naenjoy..
Penda sana everlenk miaka 100

Hahahhahaha!!! Asanteeeeeee sana mumy penda wewe zaidi..... Hata nami nafurahi sana kampani yako....
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha weeeeee siogopi....hasa kwa nyie huwa najilia tu




hahahahah mkuu mm hapa nshajiwekea akiba....mwezi wa nane ni kujitusulia tuuuu....leo cure b kesho everlenk

Hahahhahah!! Angalia usitusuliwe wewe siku hizi wanawake tunabaka.........
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa labla sio watoto wa OT tuna sound sisi... everlenk ameshakuambia magoli tuu hayatoshi je una hela?

Safiiiiii!!! Hivi hapo unakunywa kinywaji gani embu ongeza nakuja kulipa fasta..... Yaani mumy vidume vyote vimechemka hata wale watoto wa Mou hapa ni hela tu kama hawana wajikatae mapemaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Aiseeeeeee na everlenk una akiliiiiiii.....nipe namba ya mmeo hapa nimpe habari njema....vile vilele ndo vyenyewe.....aviandae tuu mok mwez wa nane viwe swaaaf

Weweweeeerrrrrrrreeeeee !!!!!! Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…