Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Dk 1201-1Wataanza kufunga Barca,Juventus watasawazisha.Mikwaju ya Penalty Barcelona 3-4 JuventusNdoo inaenda TorinoUshindani mwingine utakuwa ni NIKE /BARCA VS ADIDAS/ JUVENTUS
hizi ndoto nyingine mbaya sana
 
Yaani nilikuwa najiona mi.naipendaaaaaaaa barcelona lkn kwa post na coment hizi mi bado sana ila wote tutafurahi sn kama andunje atafunga hiyo ksh
tupo pamoja mkuu leo laxma tupige juve nyingi
 
mkuu achana nae huyo hana jipya
 
Last edited by a moderator:
tusubir idad ya magoli hayo ndio hatuyajui ila.mkuu wewe wafanya kusudi tu ila unaijua vema barca

Juve watashinda hata kwenda extra time na kuingia kwenye matuta,msichukukie mambo easy kiasi hicho,mnaifananisha juve Kama yanga,midfield yao imetulia Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…