PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Juve leo bao chache atakazopigwa hazipungui tano, tunatarajia bao ishirini na kwenda mbele.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zangu mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juve leo bao chache atakazopigwa hazipungui tano, tunatarajia bao ishirini na kwenda mbele.
mkuu sijakataa kwa huyo bi kizee anaweza akafunga goli au hata magoli lakini abadani asirani kombe hatolichukua, ile ni mali ya inayopaswa kwenda catalunya
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha watatafutana hao
Mkuu chuki zako dhidi ya Barca zitakusababishia vidonda vya tumbo
mkuu nishakusoma kuwa unampenda neymar 7bu utakuwa wewe ni mshabikivwa brazil ila sema usemavyo BARCA BINGWASiyo chuki mkuu, mbona pale barca nina shujaa wangu, yule aliyempimia kanzu mtu mpaka akaamua kuanzisha ugomvi uwanjani! Huyo ni Neymar!! Lakini linapokuja suala la kukabiliana na kibibi kizee hiyo ni habari nyingine kabisa mkuu!!! Sema humu ndani watu hawakijui kibibi kizee maana kilikuwa likizo ya muda mrefu!! Likizo ya kibibi kizee imekwisha na tangazo kuwa likizo hiyo imekwisha litasomwa leo kuanzia saa 3:45 usiku huu!!
ha ha ha ha ha ha ha ha wenyewe wako busy na counter attack sie tupo busy na kutupia magoli wavuni NIMEIPENDA HIIMpira nusu uwanja, Juve hawauwezi mchezo wa Barca, watakuwa wanategemea 'counter attack' huku wanakunywa magoli
ha ha ha ha ha ha ha ha wenyewe wako busy na counter attack sie tupo busy na kutupia magoli wavuni NIMEIPENDA HII
hawawez mabeki wa juve ha ha ha ha ha ha ha ha mabeki wenyeww wakina evra ha ha ha ha ha haHafu Messi awachanganye na atupie kitu kikali, nilisikia wanajipa moyo kuwa Messi hawawezi mabeki wa Juve
Ha ha ha samahani mkuu munkari tu wa mpira,nafuta kaulihapa mkuu umetutukana, umetutusi mkuu hapa, eti nini?
team juve,najua mpira ukishaisha wengi watakimbia humu....
Team Barca bando zitawaishia mapemateam juve,najua mpira ukishaisha wengi watakimbia humu....
Barca wanaongelea tu Forwad naona mmesahau sehemu muhimu ya ulinzi,ipo timamu au ndo tia maji tia maji? Kuna akina Tevez,Morata,wakisaidiwa na Pogba,Vidal,na mtu mzima Pirlo watakuwa na njaa ya kulichungulia.lango la Barca.Vipi ulinzi upoooooo kweli?