Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Jana c nikatoka nikaanza kumsaka CUTE_b mana nlimpa jukumu mapemaaa, ila najua alikuja kujificha kwako

Hahahaaaa wapi wew jana ulishakimbia mapema ulivyo ona juve wamerudisha ile goli ukaona kit.o.mb kitakuhusu usiku kucha ukasepa hahahaaaaaaaa....
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!! Ikawaje sasa?....

Wanaume ni kama watoto tuu nilimdanganya nipo kwenye siku zangu maana PNC 1 alikuwa anataka anionje kabla hajanipeleka kwa Arsenal... nikamdanganya danganya akaelewa nikamwambia leo nitajipeleka mwenyew... hahahaaaa atanisikilizia kwenye bomba ananipigia tangu saa 4 ya asubuh sipokei
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa...wacha tuu mdau

michepuko haina kusitiri

Sometime inasitiri tena sanaa, tatizo wewe ulikuwa unachagua type zile zile unafuata mkondo ule ule, siku nyingine uwe unajitoa ufahamu unapenda visivyovutia uone ndani kunani utapishana na mema ya nchi shauri yako.... Lol
 
Hahahahahahaha!! Hayatoshi bana anataka kumiliki vyote si unajua tena cute b mtoto wa OT tajiri wa England nzima sasa hajazoea shida,tafadhali usije mtesa wangu......

Hahahaaaa kweli watoto wa OT ni sheeda atawezea wapi?
Ivi mamy huyu PNC 1 barca ni nyumba ndogo yake au ndo makazi? Je Cardinal06? Nijibu wew maana nwogopa kuwauliza
 
Last edited by a moderator:
Wanaume ni kama watoto tuu nilimdanganya nipo kwenye siku zangu maana PNC 1 alikuwa anataka anionje kabla hajanipeleka kwa Arsenal... nikamdanganya danganya akaelewa nikamwambia leo nitajipeleka mwenyew... hahahaaaa atanisikilizia kwenye bomba ananipigia tangu saa 4 ya asubuh sipokei
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zangu mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wanaume ni kama watoto tuu nilimdanganya nipo kwenye siku zangu maana PNC 1 alikuwa anataka anionje kabla hajanipeleka kwa Arsenal... nikamdanganya danganya akaelewa nikamwambia leo nitajipeleka mwenyew... hahahaaaa atanisikilizia kwenye bomba ananipigia tangu saa 4 ya asubuh sipokei

Hahahaha!!! Safi sana lakini hata hivyo PNC 1 alikuwa bwax mbaya yeye akiulizwa kitu au akisalimiwa tu anajibu RAHA KAMILI RADHA THABITI......mimi nikajua labda ameshakuonjapo ndo maana anajibu hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Sometime inasitiri tena sanaa, tatizo wewe ulikuwa unachagua type zile zile unafuata mkondo ule ule, siku nyingine uwe unajitoa ufahamu unapenda visivyovutia uone ndani kunani utapishana na mema ya nchi shauri yako.... Lol

khaaaah....

sasa copa america nimechagua mexico, hapo napo vipi nimelala ndani au nimelala getini ?
 
Hahahaaaa kweli watoto wa OT ni sheeda atawezea wapi?
Ivi mamy huyu PNC 1 barca ni nyumba ndogo yake au ndo makazi? Je Cardinal06? Nijibu wew maana nwogopa kuwauliza
Barca ndio makaz yangu makuu mchumba kifupi nilianza kuipenda barca na nikawa cjajuaga kama kuna ligi ya epl baada ya kama mwaka ndio nikaanza kuckia liver mara arsenal na man u mm si wa zamani sana kwenye mpira nina miaka 10 tu ila kitu ninachojivunia nikuwa ndoo zote za barca uefa katka karbe hii ya 20 nimeziona fainal zake na kingine tangu 2012 mpaka leo cjawai kosa kuangalia mechi hata moja ya barca iwe la liga,uefa,copa del ray n.k hata zichezwe saa 8 usiku
 
Last edited by a moderator:
Hivi mfungaji bora kachukua Nani cz messi,neymar na ronaldo wana goli 10 wote
 
Hahahaaaa kweli watoto wa OT ni sheeda atawezea wapi?
Ivi mamy huyu PNC 1 barca ni nyumba ndogo yake au ndo makazi? Je Cardinal06? Nijibu wew maana nwogopa kuwauliza
PNC 1 Barca damu.... Cardinal06 siyo sana ila ni timu Messi... Lol, PNC 1 juzi alinichukia acha tu kisa eti kwanini nimemsifia bebito wangu wa Juve hadi walinitenga acha tu.......yaani mimi namwangalia tu hapa anavyojikomba kwako ntarevange mimi oh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!! Safi sana lakini hata hivyo PNC 1 alikuwa bwax mbaya yeye akiulizwa kitu au akisalimiwa tu anajibu RAHA KAMILI RADHA THABITI......mimi nikajua labda ameshakuonjapo ndo maana anajibu hivyo.

Hahahaaaaaaaaaa umeniua mamyy duuu ngoja nikakojoe kwanza naeza jikojolea
 
Last edited by a moderator:
Barca ndio makaz yangu makuu mchumba kifupi nilianza kuipenda barca na nikawa cjajuaga kama kuna ligi ya epl baada ya kama mwaka ndio nikaanza kuckia liver mara arsenal na man u mm si wa zamani sana kwenye mpira nina miaka 10 tu ila kitu ninachojivunia nikuwa ndoo zote za barca uefa katka karbe hii ya 20 nimeziona fainal zake na kingine tangu 2012 mpaka leo cjawai kosa kuangalia mechi hata moja ya barca iwe la liga,uefa,copa del ray n.k hata zichezwe saa 8 usiku

Hahahaaa pamoja mkuu...ata mimi sijawahi kukosa mechi ya barca na za EPL na za italy na Germany mpira una ladhaaa buanaaaaaa
 
khaaaah....

sasa copa america nimechagua mexico, hapo napo vipi nimelala ndani au nimelala getini ?

Mhh!!! Haya sisemi mengi mimi bado nawachunguza wote ila kamoyo kanadunda dunda kwa Argentina kila nimuonapo ananifanya nitabasamu.....
 
Barca ndio makaz yangu makuu mchumba kifupi nilianza kuipenda barca na nikawa cjajuaga kama kuna ligi ya epl baada ya kama mwaka ndio nikaanza kuckia liver mara arsenal na man u mm si wa zamani sana kwenye mpira nina miaka 10 tu ila kitu ninachojivunia nikuwa ndoo zote za barca uefa katka karbe hii ya 20 nimeziona fainal zake na kingine tangu 2012 mpaka leo cjawai kosa kuangalia mechi hata moja ya barca iwe la liga,uefa,copa del ray n.k hata zichezwe saa 8 usiku
Kumbe wewe bado kavulana eeeh!!! (Jokes) Sikupi mdogo wangu...... Hahahaha
 
PNC 1 Barca damu.... Cardinal06 siyo sana ila ni timu Messi... Lol, PNC 1 juzi alinichukia acha tu kisa eti kwanini nimemsifia bebito wangu wa Juve hadi walinitenga acha tu.......yaani mimi namwangalia tu hapa anavyojikomba kwako ntarevange mimi oh!!!!

Hahahaaaaa kumbe eeee.....
Huyo team mesi umenichekesha sana yaaan kumbe yey anapenda mesi na sio club
 
Last edited by a moderator:
Kulingana na wachambuzi wa soka wanasema wote wanachukua tuzo hiyo.

Sio kwamba ronaldo kamzidi mesi mamy?
Coz last tym kufuatilia ronaldo alikuwa amemzid messi ila sasa watu wakaweka matumaini kua mesi angeshinda fainal
 
Hahahaaaaa kumbe eeee.....
Huyo team mesi umenichekesha sana yaaan kumbe yey anapenda mesi na sio club

Hahahaha!! Mimi simo ngoja Cardinal06 akusikie ntakuruka kabisa sijakupa umbea huu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom