interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Ni sawa na hapa Bongo bingwa kuandaliwa hata kabla ya mechi, so hiyo hiyo klabu bingwa ya TZ ikishiriki tu michuano ya klabu bingwa "CAF" ni mwendo mdundo wa kula hamsa [emoji114] [emoji22]
Caf walimuandaa bingwa kuwa esperance, Ndio maana kombe la Dunia Africa ni kupigwa magoli kama kawaida