Mechi ya fainali Esperence vs Wydad casablanca yatuvua nguo waafrica.

Ni sawa na hapa Bongo bingwa kuandaliwa hata kabla ya mechi, so hiyo hiyo klabu bingwa ya TZ ikishiriki tu michuano ya klabu bingwa "CAF" ni mwendo mdundo wa kula hamsa [emoji114] [emoji22]
Caf walimuandaa bingwa kuwa esperance, Ndio maana kombe la Dunia Africa ni kupigwa magoli kama kawaida
 
Sasa kwanini uendelee kucheza wakati unadhulumiwa haki yako??? We unaona walichofanyiwa Casablanca ni sahihi???
Achana nalo hilo lisikusumbue kabisa akili maana Mawatu mengine ni "mahaba niue kisoka" ambapo hata kama hakujatendeka haki ni lazima yatetea tu ujinga 7bu huongozwa na hisia zaidi kuliko akili pevu.
 
Si kweli, rejea mechi aliyobebwa Barcelona Vs PSG 6-1 pale Catalonia Mwaka ya hivi karibuni, tena Refa aliadhibiwa hadi kushushwa daraja na kuchezesha EUROPA badala ya UEFA tena.
 
Inasikitisha sana Chifu
 
Tunahtaji final iwe 1 masuala ya kucopy kutoka America mara Spain hatuyaitaji kama match itapangwa kupigwa mkwakwani ipigwe huko huko sio masuala ya home na away hatuko kwenye group stage hii ni final
factor kubwa uchumi wetu mkuu.....asilimia kubwa ya mashabiki wa kiafrica hawamudu gharama za kusafiri

pata picha fainali inacheza yanga au simba na timu ya misri south africa alafu fainali inafanyikia misri

jiulize mashabiki wangapi wa timu zetu hizi za nyumban watamudu gharama za kwenda misri kushangilia timu yao
 
mpira bila mashabiki ni sawa na kusex na yule demu wa askofu gwa.... kimyakimya hainogi mzee baba
 

Kwani ufahamu kua benchi la ufundi nao ni sehemu ya mashabiki?

Tunacho hitaji fainal ipigwe 1 na uwanja wa final utangaze kabla ya mashindano kuanza masuala ya kucheza final mbili ndio hatuyahitaji yamekwisha pitwa na wakati
 
Kwani CAF inategemea mapato ya mechi moja tu ya fainali? Mbona sponsor mkubwa tu Total na anatoa mpunga wa kutosha analipa mpaka waokota mpira. Ukusikia kuna mechi ilichezwa kule mbeya siku ile ile ilipokuwa inacheza Tanzania vs Uganda na mashabiki kule mbeya wakaingia tisa? Mbona mechi iliendelea na aliyeshinda akapewa points. Emu tuwe serious na michezo vinginevyo kuna siku tutapigana ngumi mpaka dunia itatushangaa.
 
point siyo mapato point ni radha ya mchezo na mashabiki wote wapate kitu roho inapenda..

kuna maana gani yakucheza bila mashabiki
 
Yaani tuko nyuma sana fainal zinachezwa mbili?

Manina zao caf
Inashangaza sana. Fainali mbili nyumbani na ugeni. Upambavu mtupu. Fainali ni Neutral ground,tena mechi moja tu. Hizi mechi 2 ni upuuzi mtupu,eti Home and Away, kupoteza ladha ya jina Final!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…