Naxungumzia mvuto mkuu,final ni mwisho sasa unapokuwa na mwisho mitatu au miwili huo sio mwisho sasachampions league nyingi sana za football zina fainali 2... mechi home and away.. mfano america, asia, africa, etc... hata basketball nba finals ina mechi 7 za marudiano
sasa hapo unasemaje imepoteza maana ya fainali
Aiseee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kushangaa bin kushangaaNimeshangaa bin kushangaa. Africa tuna matatizo tena makubwa. Eti VAR haifanyi kazi fainali jamani. Halafu mechi ya kwanza i.e first leg ilichezwa saa saba usiku ya Tanzania. Kule penalt ilikataliwa,captain akalimwa red card. Jana napo lille lilikuwa goli,likakataliwa. Inshort Esperance alipangwa ashinde njoo mvua njoo jua. Africa is shit continent.
Aibu sana mkuu... na kuna watu wanatetea upuuzi huu.Aibu kubwa kwa rais huyu mpya wa CAF. Upendeleo wa waziwazi kwa Esperance kwa mechi zote mbili.
Mh.Hao waliogoma kuendelea na mechi (Wydad) inabidii waadhibiwe (ikiwezekana wafungiwe kushiriki haya mashindano) maana huko ni kukosa nidhamu kwani baada ya mechi wangepeleka malalamiko yao kwa wahusika.
Uamuzi mzuri huu! Ila CAF bhana si wangefanya hicho kikao ndani ya nchi yoyote mwanachama? Wanaenda Paris ili wale bata tu Waafrica bhana....???
Lakin wao wanaweza kusema ni sababu za kiusalamaUamuzi mzuri huu! Ila CAF bhana si wangefanya hicho kikao ndani ya nchi yoyote mwanachama? Wanaenda Paris ili wale bata tu Waafrica bhana....???
Hiyo itakua sababu ya hovyo tu yaani unataka kusema Africa hakuna nchi salama ya kufanya kikao kama hicho? Hata makao makuu ya CAF sio salama? hao ni sawa na viongozi wa Africa wakiumwa wanaenda kulazwa Ulaya ila hawathubutu kuboresha hospital za mataifa yao sababu ya ubinafsi tu.Lakin wao wanaweza kusema ni sababu za kiusalama
Iyo mzee ni series sio fainalichampions league nyingi sana za football zina fainali 2... mechi home and away.. mfano america, asia, africa, etc... hata basketball nba finals ina mechi 7 za marudiano
sasa hapo unasemaje imepoteza maana ya fainali