Mechi ya fainali Esperence vs Wydad casablanca yatuvua nguo waafrica.

Mechi ya fainali Esperence vs Wydad casablanca yatuvua nguo waafrica.

champions league nyingi sana za football zina fainali 2... mechi home and away.. mfano america, asia, africa, etc... hata basketball nba finals ina mechi 7 za marudiano
sasa hapo unasemaje imepoteza maana ya fainali
Naxungumzia mvuto mkuu,final ni mwisho sasa unapokuwa na mwisho mitatu au miwili huo sio mwisho sasa
 
Aibu kubwa kwa rais huyu mpya wa CAF. Upendeleo wa waziwazi kwa Esperance kwa mechi zote mbili.
 
Nimeshangaa bin kushangaa. Africa tuna matatizo tena makubwa. Eti VAR haifanyi kazi fainali jamani. Halafu mechi ya kwanza i.e first leg ilichezwa saa saba usiku ya Tanzania. Kule penalt ilikataliwa,captain akalimwa red card. Jana napo lille lilikuwa goli,likakataliwa. Inshort Esperance alipangwa ashinde njoo mvua njoo jua. Africa is shit continent.
Aiseee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kushangaa bin kushangaa
 
Ha haaaa ngoma inarudiwa
Screenshot_20190605-221444.jpeg
IMG_20190605_220910_053.JPG
IMG_20190605_220940_167.JPG
 
Hao waliogoma kuendelea na mechi (Wydad) inabidii waadhibiwe (ikiwezekana wafungiwe kushiriki haya mashindano) maana huko ni kukosa nidhamu kwani baada ya mechi wangepeleka malalamiko yao kwa wahusika.
Mh.
 
Lakin wao wanaweza kusema ni sababu za kiusalama
Hiyo itakua sababu ya hovyo tu yaani unataka kusema Africa hakuna nchi salama ya kufanya kikao kama hicho? Hata makao makuu ya CAF sio salama? hao ni sawa na viongozi wa Africa wakiumwa wanaenda kulazwa Ulaya ila hawathubutu kuboresha hospital za mataifa yao sababu ya ubinafsi tu.
 
Back
Top Bottom