Mechi ya jana imetupa ujasiri wana Simba

Afadhari sisi nyie mmegeuzwa kama chapati nyuma na mbele
Afadhali sisi tumepata goli moja tena katika hayo 6 ni jumla ya mechi 2 sio kama nyinyi mlipigwa kwenye mechi moja

Halafu magoli mawili tuliyofungwa ni ya penati wakati nyinyi yalikuwa ni msako kwa msako mpaka diarra wa miaka hiyo naskia gloves zilichanika
 
Simba ina wagonjwa wengi sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Yamewapa ujasiri wa kufungwa
 
Consistency yako inanipa ujasiri pia wa kuamini tutafika mbali.

Mechi ya jana tumepoteza kwa makosa binafsi ya Onyango.

Tulikuwa na muda mrefu sana bila kufunikiwa penalty kwenye mechi za kimataifa lakini Onyango amekuwa mtoa penati.

Msimu uliopita Karim Konate alimgeuza Onyago uchochoro akasababisha penalty.

Kwenye hatua ya makundi mpaka sasa amesababisha penalty tatu katika mechi nane Onyango kasababisha penalty nne lakini katika mechi 10 Simba wamesababisha penalty sita.

ASEC Mimosas 2 penalties
De Agosto 1 penalty
Raja Casablanca 2 penalty
Horoya 1 penalty katika penalty sita nne zote kasababisha Onyango.

Hizi siyo takwimu nzuri kwa timu inayopigania makombe.
 
Upo sahihi mkuu
 
Emu oneni aibu basi, mnapata wapi ujasiri wa kuzungumzia champions league,, nyie kombe lenu ni la mbuzi komaeni tu huko huko, mcheze na vibonde wenzenu huku maji marefu hampawezi,,..
Sawa endeleeni kupigwa nyuma na mbele
 

Vile wanathiiiimba walivyokuwa wakiangalia match.
 
Mechi ya jana imetufundisha mengi

Mashabiki wetu hawajui shangilia

Wachezaji wetu ni wazito sana

Tununue wachezaji wenye mbio,

Tuweke mbele umri wa wachezaji

Msimu ujao panga kubwa lipite
 
Mechi ya jana imetufundisha mengi

Mashabiki wetu hawajui shangilia

Wachezaji wetu ni wazito sana

Tununue wachezaji wenye mbio,

Tuweke mbele umri wa wachezaji

Msimu ujao panga kubwa lipite
Wachezaji wenye mbio kama kisinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi tulipata goli 3 na hatukufungwa nyumbani na kama penalty sio goli Chama ana goli 3 mpka sasa
 
Pamoja na yote mpira uliopigwa na mnyama jana, itawachukua utopolo miaka isiyopungua 20 kucheza mpira kama ule,, lile pira ni level za Bayern munich
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…