XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
- Thread starter
- #81
Ndo uone namna ambavyo tunapata tabu na hawa viumbe,, wana vichwa vitupu mnoNilishangaa sana baada ya kujua kumbe yanga wapo kwenye mashindano tofauti na simba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi kweli kweli na watu wanajitutumua kumlinganisha simba na yanga.
NB: sina ushabiki kwa timu yoyote nimeonyesha mshangao niliopata tu..