PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Sana! Eti tumeshasahau kwanba Yanga alishapigwa tano na simbaBinadamu tunasahau haraka sana.View attachment 2341253
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana! Eti tumeshasahau kwanba Yanga alishapigwa tano na simbaBinadamu tunasahau haraka sana.View attachment 2341253
Mmeisha aisee 😂Naam Full time
Mechi ni ya kirafiki, al hilal wameichukulia kama fainali ya CL, wamesahau kuwa wanacheza football badala yake wanacheza "ndondiball"Wapunguze masihara, wanacheza shiw game sana hawaoneshi njaa ya magoli
So far nimeona Al hilal inafungika hata kwao endapo Simba atajidhatiti na kujitoa vilivyo
Barabarani mkuu 😃Ulikuwa wapi muda wote?
nyie na KMC ngapi? Au ni kesho?Barabarani mkuu 😃
Poleni mkuu msimu huu tena mnatoka kapa tena
Hii kwetu sisi ni mechi ya maboresho kuangalia wapi tunaweza ku9ngezea nguvu.Barabarani mkuu 😃
Poleni mkuu msimu huu tena mnatoka kapa tena
3El hilalDakika ya 3 ya mcgezo Al Ahly wanafanya shambulizi hapa katika lango la Simba lakini mpora unatoka nje na kiwa goal kick
Na wakati huo wakumbuke kuna wachezaji wengine hawapoView attachment 2341356
Wamemaza lakini wameshindwa kulipa
Wasiokwepo ni kwasababu ya kuitwa kwenye timu ya Taifa Stars katika mashindano ya CHAN, vipi upande wa timu ya Al Hilal wao hawana wachezaji walioitwa kwenye CHAN katika taifa lao la Sudan?Na wakati huo wakumbuke kuna wachezaji wengine hawapo
Ngapi ngapi hukoWazururaji mlienda nje kufungwa fungwa hovyo
Moja bila wazururaji wamechapwa kimoja katika gheto la wasudanNgapi ngapi huko
Kutofanya sub wakati sahihi na hili alilifanya hta kwnye mechi ya ngaoTatizo la mwalimu nini Mkuu?
Binadam mmeumbwa kusahau haraka sanaHawa tungekuwa full mkoko wasingetoka. Uto wajiandae kupelekewa moto. Labda wakacheze ndombolo na wakongo wao