Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchapwa kuchapwa, Kuchapwa ni shughuli pevu.... × 2FT Yanga 0- 7 Al Hilal
CAF First round
Ila mzungu simba wamepigwaUnazungumzia mechi hii mkuu?
Hii mechi inaisha hivi hivi, Simba hana dalili ya kufunga goli.
Al hilal sio wazuri wakutisha, huyu ukimpigia hesabu za sare away na kipigo home inawezekana kabisaYani hpo kocha wa Yanga yupo full time ameangalia miguu ya wachezaji wa Al hilal ajue wanakimbiaje hahahaah
Wanaringa wana bendi ya kutumbuiza yenye wakongo wa kutoshaAl hilal sio wazuri wakutisha, huyu ukimpigia hesabu xa sare away na kipigo home inawezekana kabisa
Sema tatizo lipo kwa nfugu zetu hawana upaja wa kuhimili mapambano ya kimataifa na ndio maana inakuwa ngumu kuwabashiria ushindi
True. Lakini pia ni kweli kapombe na zimbwe wamekwepo muda mrefu sana kikosini, ila hawa wa leo bado sana kuwa mbadala wa hizo mbavu mbili za timu.Al hilal sio wazuri wakutisha, huyu ukimpigia hesabu xa sare away na kipigo home inawezekana kabisa
Sema tatizo lipo kwa nfugu zetu hawana upaja wa kuhimili mapambano ya kimataifa na ndio maana inakuwa ngumu kuwabashiria ushindi
Fo shuaaaaHongera wachezaji..huu ndio uungwana..huwezi kukaribishwa kwa rafiki yako halafu pamoja na ukarimu wote aliokufanyia halafu umfunge.
Nakubaliana. Asante Kotoko ni bora kuliko Utopolo lakini alipigwa 5-0.FT Yanga 0- 7 Al Hilal
CAF First round
Plus na uzembe wa baadhi ya wachezaji wa Simba umetusababishia kupata matokeo hayaTrue. Lakini pia ni kweli kapombe na zimbwe wamekwepo muda mrefu sana kikosini, ila hawa wa leo bado sana kuwa mbadala wa hizo mbavu mbili za timu.
Wapunguze masihara, wanacheza show game sana hawaoneshi njaa ya magoliHawa tungekuwa full mkoko wasingetoka. Uto wajiandae kupelekewa moto. Labda wakacheze ndombolo na wakongo wao
hauachagi kuwashwa takoHawa tungekuwa full mkoko wasingetoka. Uto wajiandae kupelekewa moto. Labda wakacheze ndombolo na wakongo wao
4 shuaaaa.Hongera wachezaji..huu ndio uungwana..huwezi kukaribishwa kwa rafiki yako halafu pamoja na ukarimu wote aliokufanyia halafu umfunge.
Tatizo la mwalimu nini Mkuu?Safi chama langu SSC mkayafanyie kazi mapungufu yaliyoonekana. Na mwalimu Zoran naona huna siku nyingi simba.