Mechi ya Kirafiki ya Kimataifa Al Hilal Vs Simba Sc

Refa ametoa kadi ya njano kama fair play kwa wachezaji wawili, Nelson Kapama kwa kitendo cha kumpiga kofi mchezaji wa Al Hilal

Na huyo mchezaji wa Al hilal ameoneshwa kadi ya njano kutokana na reaction aliyoichukua kwa kitendo alichofanyiwa na Nelson Kapama
 
57'
Al hilal wanashambulia lango la Simba lakini mpira unakwenda nje ya lango
 
Refa ana balance huyo jamaa mwenye jezi number 15 alitatikwa red card
 
58'
Sakho anakosa timing hapa na mpira wake unaenda nje inakuwa goal kick
 
Hahaha nao Al hilal sijui wana pressure gani
 
Goooooal Al hilal wanatangulia hapa wakifunga goli la kwanza la kuongoza na mchezaji mwenye jezi namba 32 J. mano aliyepiga free header ikagonga mwamba na mwishowe ukaingia kambani
 
Kwa mazingira haya ya mechi, hilo goli halirudi
 
Ilikuwaje kapama akampiga kofi? Alimshika kalio nini?maana Simba hawapendi hizo mambo wao ni watu wa kazi za kiume hahahahahaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…