Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ww endelea tuu na mambo yako yaleee unapendezea kuleMie wala sina ushabiki watimu...mie napenda mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww endelea tuu na mambo yako yaleee unapendezea kuleMie wala sina ushabiki watimu...mie napenda mpira
Binadamu tunasahau haraka sana.Nyikani mpaka mbugani..milimani hadi tambarare.. This is SIMBA[emoji176]![]()
Labda majeruhiSijui kocha wetu aliwaza Nini mpaka kuweka wachezaji wa akiba watatu
Visiwani au?Dah mnanitamanisha jamani aisee sijui kwanini sijatoka huku ziwani
Anataka apigwe kipigo cha mandonga ndo ashtukeSijui kocha wetu aliwaza Nini mpaka kuweka wachezaji wa akiba watatu
Ndio mkuuVisiwani au?
Wachezaji wote kweliLabda majeruhi
Nilitaka kuona ajabu bila huyu kuja hapa..amefuatilia kimya kimya ameshindwa.Kweli hiyo ni ya kimataima sio kimataifa, hujakosea😃
Tunafuatilia kila herufiUmejianzishia uzi mwenyewe hata wenzako hawana time na huo ubovu.
AkikuaInonga ataacha utoto lini
Nazani atakua kipa namba nneHuyu TERU. Ndio mchezaji gan
For realNafikiri sub ya dejan kumuweka phiri itakuwa nzuri zaidi, namuona dejan kwenye game hajachangamka kama phiri.
Tamaa yangu ilikuwa kuwaona chama, okrah na okwa pamoja jamaa wanavitu nafikiri kutafuta magoli ndo kilichobaki.
#Nguvumoja
Hata asipounguruma mwalimu atakua amejua nani ni nani wapi panavuja apakandike mapemaaaSecond half lazima 🦁 aungurume