Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Coach Ibenge pia ana pressure ya kufungwa mara kadhaa na SimbaHahaha nao Al hilal sijui wana pressure gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coach Ibenge pia ana pressure ya kufungwa mara kadhaa na SimbaHahaha nao Al hilal sijui wana pressure gani
Utawaona waleee watajaa sasa hivi kushabikia goli la Al hilalGoooooal Al hilal wanatangulia hapa
Ulikuaje mkuusio kama ule wa Friends Rangers
Tumeshambuliwa sanaGoooooal Al hilal wanatangulia hapa wakifunga goli la kwanza la kuongoza na mchezaji mwenye jezi namba 32 aliyepiga free header
Lolote laweza kuwaKwa mazingira haya ya mechi, hilo goli halirudi
Safi sanaGoooooal Al hilal wanatangulia hapa wakifunga goli la kwanza la kuongoza na mchezaji mwenye jezi namba 32 aliyepiga free header
Kwa mazingira haya ya mechi, hilo goli halirudi
Kama kuna kaukweli
Huyu jamaa ifikie wakati kocha akubali kuwa mchango wake ni mdogo sana kwenye timu! anawachosha wengine68'
Cross ya Dejan inakosa mmaliziaji