Al Zagawi JF-Expert Member Joined Mar 17, 2009 Posts 2,508 Reaction score 1,566 Nov 17, 2023 #21 Tresor Mandala said: Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc , sasa nashangaa yuko simba Click to expand... Simba na Azam ni ndugu...
Tresor Mandala said: Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc , sasa nashangaa yuko simba Click to expand... Simba na Azam ni ndugu...
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 40,905 Reaction score 86,203 Nov 17, 2023 #22 Al Zagawi said: Simba na Azam ni ndugu... Click to expand... Ooh,ok ,ndio maana
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Joined Mar 11, 2022 Posts 5,392 Reaction score 14,646 Nov 17, 2023 #23 Eee Mungu tusaidie wanao dunia inatuadhibu
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Nov 17, 2023 #24 Asec piga hiyo mizoga Sent using Jamii Forums mobile app
William Mshumbusi JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 1,761 Reaction score 2,391 Nov 18, 2023 Thread starter #25 Tresor Mandala said: Ooh,ok ,ndio maana Click to expand... Undugu wa kupeana vitu vibovu.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Nov 18, 2023 #26 Tresor Mandala said: Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc , sasa nashangaa yuko simba Click to expand... Kama alivyo mbovu Cadena, ndivyo Simba na management yake walivyo wabovu.
Tresor Mandala said: Simba ilitumia kigezo gani kumteua cadena ? Wakati akiwa Azam ,magolikipa wa azam moja ya makipa wa bovu ligi ya nbc , sasa nashangaa yuko simba Click to expand... Kama alivyo mbovu Cadena, ndivyo Simba na management yake walivyo wabovu.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Nov 18, 2023 #27 Kilimbatz said: Asec Mimosa wasiniangushe Click to expand... Kabisa mkuu, tuwaombee heri Asec.
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 40,905 Reaction score 86,203 Nov 18, 2023 #28 Aleyn said: Kama alivyo mbovu Cadena, ndivyo Simba na management yake walivyo wabovu. Click to expand... Hahahahaha
Aleyn said: Kama alivyo mbovu Cadena, ndivyo Simba na management yake walivyo wabovu. Click to expand... Hahahahaha
Domhome JF-Expert Member Joined Jun 28, 2010 Posts 3,198 Reaction score 3,950 Nov 18, 2023 #29 econonist said: Mkuu Viongozi wa Simba ni kama kenge hawasikii. Wakati timu ipo vibaya wanamrudisha Matola. Matola ana kipi jipya?. Ngoja Yanga atawale mpaka tutakapopata Viongozi wa maana. Click to expand... Na kusikia kwa Kenge ni mpaka damu imtoke masikioni. Unajua viongozi wa Simba hawatutendei haki mashabiki tunapata tabu sana toka kwa Vyura FC.
econonist said: Mkuu Viongozi wa Simba ni kama kenge hawasikii. Wakati timu ipo vibaya wanamrudisha Matola. Matola ana kipi jipya?. Ngoja Yanga atawale mpaka tutakapopata Viongozi wa maana. Click to expand... Na kusikia kwa Kenge ni mpaka damu imtoke masikioni. Unajua viongozi wa Simba hawatutendei haki mashabiki tunapata tabu sana toka kwa Vyura FC.