Mechi ya Simba na Asec ni Muhimu mno kwa simba na ni Nyumbani. Hakuna kocha mwingine kuipeleka timu zaidi ya Mgunda

Mkuu Viongozi wa Simba ni kama kenge hawasikii. Wakati timu ipo vibaya wanamrudisha Matola. Matola ana kipi jipya?. Ngoja Yanga atawale mpaka tutakapopata Viongozi wa maana.
Na kusikia kwa Kenge ni mpaka damu imtoke masikioni.
Unajua viongozi wa Simba hawatutendei haki mashabiki tunapata tabu sana toka kwa Vyura FC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…