Mechi ya Simba na Yanga imeahirishwa

Mechi ya Simba na Yanga imeahirishwa

Mechi ilitolewa taarifa tar 21 siku nne kabla ya mechi ambayo ilikuwa tar 25.
Hiyo taarifa unayoiongelea iliyotolewa tarehe 21 ilikuwa ni kusogeza muda wa mchezo kutoka saa 10 jioni kwenda saa 1 jioni. Taarifa ya mara ya pili ya kusogeza muda tena kutoka saa 1 jioni kwenda saa 2 na robo usiku ilitolewa siku ile ile ya mchezo.
 
Pumbavu mkubwa
Tutamlinda mama kwa nguvu zetu zoteee
Ole wa mtu amguse tutadili nae papendicular

Tutawanyoosha washenz Kama nyie
Unanitukana mimi nikujibu au
 
Inaweza ikajirudia tena baada ya watu kunyimwa uwanja kwajili ya mazoezi
 
Back
Top Bottom