PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Hii ni taa ya tahadhari,
Big Bullet walifungwa kwao goal mbili kwa bila, lakini haimaanishi ni wabovu. Matokeo yao hayo yalichagizwa pia na uwanja wao wenyewe, siyo mzuri Sana Kama ule wa Mkapa.
Uwanja wa Taifa ni mzuri kiasi kwamba team yeyote inaweza kuutumia. Mechi ya marudiano kati ya Simba na Big Bullet itakuwa na matokeo ya kikatili Sana kwa team mojawapo, kati ya Simba au Big Bullet kwasababu zifuatazo:-
1. Simba anaingia kwenye mchezo huu akiwa hana pressure ya mechi na kutokana na sifa zitakazochagizwa na mashabiki plus wachambuzi nchini, hii itatoa mwanya kwa wageni kujituma zaidi kwa uchungu wa kuforce kufuzu
2. Big Bullet ni wazuri bado, zile Tambo za mashabiki adui wa Simba kwamba Simba kashinda team ya kawaida Sana, usiwapumbaze wachezaji na benchi la Ufundi.
3. Muda waliocheza Big Bullet, saa tisa mchana uliwa cost wenyewe, walizani wanacheza na waarabu, sasa kwa asili ya team zetu nchini, mechi hii kivyovyote itakuwa jioni muda tulivu, hivyo kuna maajabu yanaweza kutokea.
4. Shamla za Mashabiki wa team ya Simba zitawatia nguvu Big Bullet kujitutumua zaidi ili wasiaibike mara mbili, huenda wakatolewa kwa aggregate ya tofauti ndogo Sana ama kwa penalty
NB: Maajabu ya mpira wa miguu siyo mageni sana, tuombe tarehe yenyewe ifike.
Simba inatakiwa kufanya bidii kuliko wakati wowote na wasibweteke kabisa, huenda ikawasaidia kufuzu.
Benchi la Ufundi litulie, lisipange kikosi kwa kubahatisha ikiwemo kuweka wachezaji kwa maana tu kila mtu aonekane kachangia kufuzu hatua inayofuata.
Pamoja na matokeo mabaya iliyoyapata Simba uwanja wa Taifa ambayo imepelekea kupungua kwa mashabiki kuingia uwanjani, bado nawashauri viongozi wa Simba kuhamasisha mashabiki wajitokeze uwanja wa Taifa, ikiwezekana, yale matangazo ya WAR IN DAR yangerudishwa, naona siku za hivi karibuni mashabiki wamepungua Sana kuingia uwanjani, hii nikwasababu hakuna uhamasishaji wa kutosha, siku hizi uwanja wa Taifa unajaa mechi za derby tu, tuhamasishe kwa kampeni motomoto ili team zetu zifuzu kwa kishindo.
Tunawaombea mfanikie katika hatua hii muhimu Sana Simba.
Mjumbe hauawawi,
Big Bullet walifungwa kwao goal mbili kwa bila, lakini haimaanishi ni wabovu. Matokeo yao hayo yalichagizwa pia na uwanja wao wenyewe, siyo mzuri Sana Kama ule wa Mkapa.
Uwanja wa Taifa ni mzuri kiasi kwamba team yeyote inaweza kuutumia. Mechi ya marudiano kati ya Simba na Big Bullet itakuwa na matokeo ya kikatili Sana kwa team mojawapo, kati ya Simba au Big Bullet kwasababu zifuatazo:-
1. Simba anaingia kwenye mchezo huu akiwa hana pressure ya mechi na kutokana na sifa zitakazochagizwa na mashabiki plus wachambuzi nchini, hii itatoa mwanya kwa wageni kujituma zaidi kwa uchungu wa kuforce kufuzu
2. Big Bullet ni wazuri bado, zile Tambo za mashabiki adui wa Simba kwamba Simba kashinda team ya kawaida Sana, usiwapumbaze wachezaji na benchi la Ufundi.
3. Muda waliocheza Big Bullet, saa tisa mchana uliwa cost wenyewe, walizani wanacheza na waarabu, sasa kwa asili ya team zetu nchini, mechi hii kivyovyote itakuwa jioni muda tulivu, hivyo kuna maajabu yanaweza kutokea.
4. Shamla za Mashabiki wa team ya Simba zitawatia nguvu Big Bullet kujitutumua zaidi ili wasiaibike mara mbili, huenda wakatolewa kwa aggregate ya tofauti ndogo Sana ama kwa penalty
NB: Maajabu ya mpira wa miguu siyo mageni sana, tuombe tarehe yenyewe ifike.
Simba inatakiwa kufanya bidii kuliko wakati wowote na wasibweteke kabisa, huenda ikawasaidia kufuzu.
Benchi la Ufundi litulie, lisipange kikosi kwa kubahatisha ikiwemo kuweka wachezaji kwa maana tu kila mtu aonekane kachangia kufuzu hatua inayofuata.
Pamoja na matokeo mabaya iliyoyapata Simba uwanja wa Taifa ambayo imepelekea kupungua kwa mashabiki kuingia uwanjani, bado nawashauri viongozi wa Simba kuhamasisha mashabiki wajitokeze uwanja wa Taifa, ikiwezekana, yale matangazo ya WAR IN DAR yangerudishwa, naona siku za hivi karibuni mashabiki wamepungua Sana kuingia uwanjani, hii nikwasababu hakuna uhamasishaji wa kutosha, siku hizi uwanja wa Taifa unajaa mechi za derby tu, tuhamasishe kwa kampeni motomoto ili team zetu zifuzu kwa kishindo.
Tunawaombea mfanikie katika hatua hii muhimu Sana Simba.
Mjumbe hauawawi,