Mechi ya Simba ya Yanga yasogezwa mbele hadi Novemba 7

Mechi ya Simba ya Yanga yasogezwa mbele hadi Novemba 7

Hadrianus

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2020
Posts
2,112
Reaction score
5,229
Soka letu ni la ajabu sana

FB_IMG_16020490678538468.jpg
 
Hii bodi ya ligi sijui ni kwann inaendelea kuwa na sifa ya kuitwa bodi ya ligi, haijawai kutokea msimu mechi zikachezwa km ilivyopangwa pasipo kupanguliwa baadhi ya mechi.
 
Ndo mana ma mpira was bongo kuja kuendelea ni ndoto sababu za kitoto kabisa
 
Hii bodi ya ligi sijui ni kwann inaendelea kuwa na sifa ya kuitwa bodi ya ligi, haijawai kutokea msimu mechi zikachezwa km ilivyopangwa pasipo kupanguliwa baadhi ya mechi.
Yaani hii bodi wanapuyanga sana
 
Sababu za mechi ku pelekwa mbele wanadai kuna baadhi ya wachezaji wanaweza kukwama kutokana kwenda kutumikia timu zao za Taifa. Yanga kikosi chao chote kipo hii inaonyesha Simba wamekwenda kulia Tff kuwa baadhi ya wachezaji wao hawatakuwepo. Chakushangaza Simba uwa wanatamba wanakikosi kipana sasa wanaogopa Nini kucheza wakati wanakikosi kipana.
Msimu huu Simba hawawezi kuepuka kipigo wanajichelewesha tu lakini kipigo Kiko palepale.
 
Ni kwa mujibu wa taarifa ya TFF
 

Attachments

  • FB_IMG_16020511624847349.jpg
    FB_IMG_16020511624847349.jpg
    16.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_16020511374472803.jpg
    FB_IMG_16020511374472803.jpg
    29.5 KB · Views: 1
Wameamua kuwabeba simba kwa mara nyingne tena..ni kwamba Yanga wachezaji wake wengi hawajaitwa kimataifa..mikia wao wameitwa so wanaona kama wasipokuwepo itakuwa soo wakt huohuo huwa wanajinasibu kuwa na kikosi kipana kama domo la msemaji wao.

Na hii ndiyo sababu kuu ya kuahirishwa hiyo mechi kama taarifa ni ya kweli. Cha kushangaza mashabiki wa Mwamedi fc wanahamishia visingizio kwa timu ya Wananchi.

Kimsingi TFF na Bodi ya Ligi imejaa viongozi wenye mahaba ya wazi na timu ya Mwamedi Fc! Hata hivyo haitasaidia! Hata hiyo Novemba 7, watakalishwa tu chini. Na mwisho wa siku kutoa visingizio eti timu ya Wananchi wameroga!!
 
Sababu za mechi ku pelekwa mbele wanadai kuna baadhi ya wachezaji wanaweza kukwama kutokana kwenda kutumikia timu zao za Taifa. Yanga kikosi chao chote kipo hii inaonyesha Simba wamekwenda kulia Tff kuwa baadhi ya wachezaji wao hawatakuwepo. Chakushangaza Simba uwa wanatamba wanakikosi kipana sasa wanaogopa Nini kucheza wakati wanakikosi kipana.
Msimu huu Simba hawawezi kuepuka kipigo wanajichelewesha tu lakini kipigo Kiko palepale
Ni juzi juzi tu walikuja na uzi wao wa kujisifia namna wachezaji wao wengi walivyoitwa kwenye timu zao za Taifa. Leo wamekimbilia kwa mbereko yao ili iwanusuru na dhahama!

Huu mwezi ni mgumu sana kwa timu zenye jezi nyekundu. Man U na Liverpool wanakumbuka vizuri kilicho wakuta.
 
Bodi ya ligi Tanzania Bara imesogeza Mbele mchezo Kat ya yanga na simba uliotakiwa kupgwa tarehe 18 mwez huu had tarehe 7 mwez November kutokana na sababu za kiusafir inayochangiwa na janga hli la korona
 
Back
Top Bottom