Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Mechi ya Taifa Stars na Uganda yasimama kwa muda kutokana na taa za uwanjani kupungua mwanga. Taa ziliwaka ikaendelea

Walaa mara nyingi katika jamii tatizo hugundulikaa kwenye matukioo makubwa
 
Ingekuwa nchi nyingine kuna Watu wangewajibika...
 
Nchi ya kipumbavu Sana mimi nilikuwa nadhani ni issue za kiusalama kumbe ni utoto huu Basi tuna safari ndefu Sana
 
Screenshot_20230328-211132_Chrome.jpg

Screenshot_20230328-211158_Chrome.jpg
 
Sijui meneja wa uwanja wa Taifa huwa anakazi gani km kila siku kunakuwa na mapungufu.Mara vyoo vichafu,mara pitch kuharibika,mara viti vimeng'olewa, leo baadhi ya taa zimegoma kuwaka. Km hatuwezi kuuendesha uwanja basi tuwarudishe wachina wauendeshe kuliko kutia aibu namna hii. Huge disappointment!
Meneja wa uwanja sio mfanyakazi wa tanesco bro
 
Jiandaeni pia kulala njia SGR ikianza. TANESCO NA DAWASA ni nuksi ya nchini.
 
Hivi yeriko nyerere ana kampuni ya mafundi umeme si wampe kazi sio kwa hii aibu
Tukienda tu kwa kubembelezana kama ilivyo kwa Waziri wa Nishati! Iko siku tutapata bonge la Aibu zaidi ya hili la umeme kuwa mdogo kwenye uwanja wa Mkapa mechi ya kimataifa ya Tanzania na Uganda!

Halafu sijui ni kwa nini huwa inakuwa hivi!

Kila mtu aliyewahi kulalMikiwa sana na wananchi kwenye tawala hizi, mtu huyo huja kuwa sababu ya serikali kufeli vibaya!

Mfano

Makonda!
 
Back
Top Bottom