Mechi ya Tanzania vs Sudan CHAN iko hapa

Mechi ya Tanzania vs Sudan CHAN iko hapa

Wabongo tunahitaji kuwekeza kwenye soka kuandaa vijana, sio Hawa wanaonekana kabisa hakuna wanachofanya zaidi ya kurukaruka
Naam hakuna njia ya mkato kufika penye kilele cha mnazi uwekezaji na umakini mkubwa unatakiwa haya maandalizi ya zima moto na slogan za kuvutia kama pamoja mpaka cameroo na mengine mengi hayawezi kutufikisha popote.
 
Live ktk radio 5 Choice FM Kiswahili :
Mapumziko dakika 45 ' za mwanzo matokeo :

Tanzania 0 - 0 Sudan


Source : JoySon Entertainment


Tanzanian team : Head Coach Etienne Ndayiragije

  • Juma Kaseja
  • Boniphace Maganga
  • Gadiel Michael
  • Erasto Nyoni
  • Kelvin Yondani
  • Jonas Mkude
  • Mzamiru Yasin
  • Salum Abubakar
  • Shaban Idd
  • Ayub Lyanga
  • Iddi Seleman

mikia FC hiyo..............
 
Back
Top Bottom