Hawa wanaojiita wa kimataifa wamelazimisha draw bana...lakin sio mbayaa kelel zimezimwaMkuu FT ikoje? Tumeshinda ama? Sisi Mediama
Usisahau mwakani tumo,kiongozi.Yanga bye bye baba Jeny...
Wakimata-ifa wame-kufaLeo ilikuwa ni mpambano wa underdogs wa Confederation, na Yanga ndio wame-prove kuwa ndio the most underdog.
Ili iweje?Natamani mpira uishe!
Ha ha ha mwisho wa majigamboWapanda ndege wameshushwaaaaaaaa!!! Dare breath a word?
Afadhali. Mji upo na utulivu kama kawaida. Hamna kelele!Ili iweje?
Umeshaisha basi...
Hilo tu? Ndilo ulilokuwa ukilitaka?Afadhali. Mji upo na utulivu kama kawaida. Hamna kelele!
wa kiMATAIFA leo wameMATAFAIKA vilivyo.Wakimata-ifa wame-kufa