Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

manji atafirisika bure, pale kuna wahuni wanampiga changa la macho kuhonga media na marefawa tz ilaikifika kimataifa mafanikio 0
 
Leo tumewakosakosa hawa Yanga lakini fresh tu,si watakuja home Ghana next two weeks.

Tutawafilimba
 
Leo ilikuwa ni mpambano wa underdogs wa Confederation, na Yanga ndio wame-prove kuwa ndio the most underdog.
 
bado yanga afrika tuna nafasi ya kusonga mbele ikiwa tutashinda gemu zote...wa kimataifa tupo vizuri sana....hawa madema wameponea chupuchupu.
 
Back
Top Bottom