KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Yaani simba aka paka, wameingizwa buree. Sisi ndio wenye mechi, wao tumewaingiza hahahahahaa idawa usinitafutie ban bana
Haya kalaleni mshaingia hasaraYaani simba aka paka, wameingizwa buree. Sisi ndio wenye mechi, wao tumewaingiza hahahahahaa idawa usinitafutie ban bana
Hahha,ni kweli,walioingizwa Bure ni wa Mchagani Simba.Yaani simba aka paka, wameingizwa buree. Sisi ndio wenye mechi, wao tumewaingiza hahahahahaa idawa usinitafutie ban bana
Mkuu umewaamulia hawa ndugu zako..Kwa hiyo watu wanajipitia tu wala hawakatai😀😀😀😀😀😡😡😡Kapigwa kimoja, baada ya MO Bejaia kupita, Al Ahly kupita, leo TP Mazembe nayo imepita, kweli Yanga haina kukaza watu wanapitaga.
Wakimataifaaaaaa!
Yanga wamefungwa goli moja kwa shiiiiiida! jamani inauma tuache utani hata kama mimi ni simbaMtatukana sana lakini mshapigwa kimoja tena cha nguvu na kinawauma
Wakimataifwa hoyyyeeee. Leo muru sijui ana lakuongea kwenye media?Kapigwa kimoja, baada ya MO Bejaia kupita, Al Ahly kupita, leo TP Mazembe nayo imepita, kweli Yanga haina kukaza watu wanapitaga.
Wakimataifaaaaaa!
bora wameliwa tu....TUnalalamika muhindi fisadi, anatuibiaaa... lakini kawapa leo na kawapa tena kiingilio mnaandamana viuno juu...
aibu sana
Maneno yako yanaua thamani ya Tomas we mama!!!All in all Yanga wamecheza vizuri sana,nimekoshwa sana na kandanda walilolitandaza Leo.
Mimi kama shabiki wa Yanga niliyetukuka...nimeumia ila maumivu sio makali sana kwa kiwango kile murua.
Laiti kama tungevurunda kabisa ningeumia zaidi.
Kubwa kuliko yote,bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno naomba nimshukuru sana Mtanzania mwenzetu anayeichezea TP Mazembe kwa uzalendo aliounesha.
Laiti kama angeamua 'kutuchinjia baharini' basi leo tungelala 3-0.
Asante Manji,
Asante Thomas Ulimwengu. [emoji11]
Wamefumuliwa ila kwa shiiida sana. Yani wamejitahd kuleta kaupinzani lakini mwishowe wakafumuliwa.Yanga wamefungwa goli moja kwa shiiiiiida! jamani inauma tuache utani hata kama mimi ni simba
Tulituma shushushu Lubumbashi kwahiyo lipoti yote tunayo juu ya mazembe lazima wapigwe tu TP mazembe.
Yani leo mitaani kote amani tupu hakuna makelele kama vichaa wala mavuvuzela. Asante sana tpmAsanteni sana TP Mazembe kwa kutunyamazishia jiji na taifa kwa ujumla!!!