Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Yaani simba aka paka, wameingizwa buree. Sisi ndio wenye mechi, wao tumewaingiza hahahahahaa idawa usinitafutie ban bana

Punguza munkari binti.....huo ndio mchezo....cha msingi msivunjwe mioyo na hizi kelele bali elekezeni nguvu zenu kwenye mechi zilizosalia....huenda lolote likatokea.....

Never say never.....
 
Jamani mie sipendi unafiki, ni hivi siwapendi YAnga kama wasivyotupenda sie SIMBA. Naomba wachapwa vigoli 3 wakae kimya tambo zao zikome. Ukweli wangu ndio huo, ni kipigo tu washike adabu yao
 
Kapigwa kimoja, baada ya MO Bejaia kupita, Al Ahly kupita, leo TP Mazembe nayo imepita, kweli Yanga haina kukaza watu wanapitaga.

Wakimataifaaaaaa!
Mkuu umewaamulia hawa ndugu zako..Kwa hiyo watu wanajipitia tu wala hawakatai😀😀😀😀😀😡😡😡
 
Kapigwa kimoja, baada ya MO Bejaia kupita, Al Ahly kupita, leo TP Mazembe nayo imepita, kweli Yanga haina kukaza watu wanapitaga.

Wakimataifaaaaaa!
Wakimataifwa hoyyyeeee. Leo muru sijui ana lakuongea kwenye media?
 
jeni muro jitahidi ufungue akaunti ya maneno NMB bank. tuko katka zama za kubana matumizi na ww jitahid uwe unabana matumizi ya maneno.
 
Msibani hakuna kiingilio, manji alijua kabisa kuwa hawatoki hivyo kupunguza machungu kwa wanae akaona waingine bureeee!!!! Hahahaha
 
All in all Yanga wamecheza vizuri sana,nimekoshwa sana na kandanda walilolitandaza Leo.
Mimi kama shabiki wa Yanga niliyetukuka...nimeumia ila maumivu sio makali sana kwa kiwango kile murua.
Laiti kama tungevurunda kabisa ningeumia zaidi.
Kubwa kuliko yote,bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno naomba nimshukuru sana Mtanzania mwenzetu anayeichezea TP Mazembe kwa uzalendo aliounesha.
Laiti kama angeamua 'kutuchinjia baharini' basi leo tungelala 3-0.
Asante Manji,
Asante Thomas Ulimwengu. [emoji11]
Maneno yako yanaua thamani ya Tomas we mama!!!
Labda kama ni mkakati wa kichura chura snurya
 
Asanteni sana TP Mazembe kwa kutunyamazishia jiji na taifa kwa ujumla!!!
 
Sikuwepo ndo naingia muda huu toka Sayari ya Mars. Nipen matokeo ya Yanga na TP Mazembe.
 
Back
Top Bottom