KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Yaani simba aka paka, wameingizwa buree. Sisi ndio wenye mechi, wao tumewaingiza hahahahahaa idawa usinitafutie ban bana
Punguza munkari binti.....huo ndio mchezo....cha msingi msivunjwe mioyo na hizi kelele bali elekezeni nguvu zenu kwenye mechi zilizosalia....huenda lolote likatokea.....
Never say never.....