IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Mwenye link nataka Ku stream
Mwenye link nataka Ku stream
Hiyo link sio mkuulINK YA kustream live
Link ya KU-STREAM LIVE Yanga Vs TP Mazembe
مشاهدة مباراة يانغ أفريكانز ومازيمبي بث مباشر بتاريخ 28-06-2016 كأس الإتحاد الأفريقي
Wewe jifariji tu lakini kipigo kiko pale pale.
Hata kama Katumbi angekuwa amekufa kabisa kushindwa kuwalipa wachezaji ndani ya muda mfupi hivi ni ndoto.
Hayo mambo yako bongo tu kwenye soka la magazetini yaani Muro kawa maarufu kuliko Amis Tambwe na Kamusoko.
Hiyo link sio mkuu
MAJORITY NI WAHUNI TU! MTU MWENYE AKILI HUWEZI KUWA UWANJANI SAA 12. BOTTOMLINE, KUNA MPIRA GANI LEO WA MAANA? FOOTBALL HOOLIGANISMHata kama wametangaziwa kiingilio ni bure kwa mtu mwenye kazi zake hawezi kwenda uwanjani saa 12 asubuhi , ni dhahiri kwamba atakuwa hana majukumu yeyote yake mwenyewe ama ya ujenzi wa Taifa .
Hivi ninavyoandika hii ni kama vile uwanja umejaa , watu wenye kazi zao hawawezi kujaza uwanja muda huu .