IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Rais kasema tufanye kazi, nyie mmeenda kujazana uwanjani asubuhi badala ya kupiga kazi. Ngoja sasa jamaa waje kuwatimua. mpira mda wake saa tisa. kwa sasa tuendelee kuijenga nchi ebooooo.
Hapa kazi tu
Hapa kazi tu