Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

uzalendo mbele mengine baadaye
 

Attachments

  • ulimwengu.jpg
    ulimwengu.jpg
    80.5 KB · Views: 38
Tangu nigundue yanga ni timu ya CCM nilijivua uanachama na mapenzi kabisa...tp mazembe timu piga yeboyebo vyura fc bao NNE tu,..uzalendo peleka Iceland Hapo visasi tu.!!
Umeanza ushabiki wa mpira lini au ndio kufuata mkumbo tu?
Mbona Halima Mdee ni shabiki wa Yanga na amezaliwa mjini kuliko wewe.
 
Kwaniaba ya watu tulio Mbali na uwanja wa taifa na Dar es Saalam kwa ujumla mechi ya Yanga na Mazembe live TBC.
 
Yaaani wakipata goli Mazembe tu japo moko Yeboyebo mmeumia Yanga 1 Mazembe 1.5
 
Back
Top Bottom