WAMEMPA GSM DAYawamu hii mechi ni ya mchezaji gani?
HahahahSafi sana. Naunga mkono hoja. Viherehere wote wa kushangilia wageni, chaliii!!! [emoji16]
Hapana mashabiki wote Wana rangi zote sema ni za misimu tofauti ila wakivaa kwa pamoja kitakacho dominate ni rangi sio logo Wala majina ya wadhaminiKuanza kuchagua rangi ndiyo kutawaletea usumbufu mashabiki. Maana kila shabiki ana jezi yenye rangi anayoipenda.
Ibakie tu hiyo ya jezi og!! Aliyependekeza hili wazo ana akili sana. 👍
Nyie ndio mnaenda na jezi za Mediama halafu mnavunja viti then anakuja kulipishwa Yanga.Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Kwahiyo ulitaka uje kuvunja tena viti halafu mseme ilikua n game ya yanga?GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Na ndani ya dk 10 naamini hizo gagulo zao zitakuwa zimejaa vinyesiKiingilio bure? Mnafungwa mtaingiza mpaka majini humu, amini waaambia
Mechi inakuhusu nini? Au unawashwa?GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Sasa hapo nani anapiga pesa jez 35,000 huku mzunguko 5,000 GSM mjanja sanaGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Sasa wewe topolo kwahiyo mechi ya yanga wengine wasije? Hii ni mechi ya kimataifa acheni ujuha.Mechi ya Yanga na madeama wewe kolokwinyo mechi yako si na Wydad?