Mpira unawenyewe😀😀Kuna Ngoma ya juma nature anasema music unawenyewe mtu anaambiwa kiingilio kwenye show tsh 5000 anasema Bora akanunue maziwa uyo sio mtu WA muzikiGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Huko Mwandiga si ndipo wanatokea hao miso Misondo au .....maana sipajui. Sasa aliyekuwa uwanjani na anayetizama kwenye TV, yupi ana views nzuri?Kwenye TV kuna preview kiwanjani hamna preview,kama ingekuwa hivyo unavyozani ww na ujinga wako basi CCTV hazina maana.Wewe kisokolokwinyo mmoja uliye huko Mwadiga ndani ndani ndiyo ujue nini kimetokea uwanjani kuwazidi wale waliokuwepo
Kwa hiyo wewe kolowizad unaitaka ticket ya bure????hamna namna vaa tu jezi ya mabingwq wa nchiGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Nikiwa sina jezi nalipa kiingilio au nicheki kwa TVGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
VIP UNALIPIANikiwa sina jezi nalipa kiingilio au nicheki kwa TV
Mkuu mbona Kama mnajisema, au mmesahau mlivyokuwa mnapokea wageni airportSafi sana. Naunga mkono hoja. Viherehere wote wa kushangilia wageni, chaliii!!! 😁
Unakata VIP A na B au Loyal...kule unaingia na nguo zako za nyumbaniGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Ni namna nyingine ya kuzuia simba dam dam kuingia uwanjani!! Huu ni ubaguzi inabidi serikali iingilie kati!! Hiyo jezi siwezi kuvaa hata nikipewa bure!!GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Serikali ipo kila mahali, unadhani wanafanya uchunguzi kwa viclipu vyako ambavyo tena unachagua vipi vya kuangalia na vingine usivyovipenda unavikwepa. Tulishayamaliza haya embu tusirudi nyuma. Nilishakwambia kibongobongo hakuna mtu anashangilia mpirani kwa kufanya vurugu. Anayefanya vurugu mara zote ni yule ambaye hajapendezwa na matokeo.Huko Mwandiga si ndipo wanatokea hao miso Misondo au .....maana sipajui. Sasa aliyekuwa uwanjani na anayetizama kwenye TV, yupi ana views nzuri?Kwenye TV kuna preview kiwanjani hamna preview,kama ingekuwa hivyo unavyozani ww na ujinga wako basi CCTV hazina maana.
Tunafanya hivi kuepusha club kupigwa faini kwaujinga wenu nyinyi 5imba, sababu siku hiyo tukio ni la Yanga na Serikali wameukabizi uwanja kwa Yanga.
Vaa jezi yoyote orijino ila iwe na chata ya GSMLeta habari kamili basi? Jezi yoyote ya Yanga au za msimu huu pekee?
Na ni za mashindano yote au haya ya CAF pekee?
Sasa kuna tatizo gani akiamua kufanya hivyo,unacho kasirika sikielewei wakati pesa zake.Serikali ipo kila mahali, unadhani wanafanya uchunguzi kwa viclipu vyako ambavyo tena unachagua vipi vya kuangalia na vingine usivyovipenda unavikwepa. Tulishayamaliza haya embu tusirudi nyuma. Nilishakwambia kibongobongo hakuna mtu anashangilia mpirani kwa kufanya vurugu. Anayefanya vurugu mara zote ni yule ambaye hajapendezwa na matokeo.
Na kukusanua tu hayo mambo ya tajiri kanunua tiketi ni siasa za kizamani. Yaani mnadhani GSM kaingia mfukoni akatoa milioni 300 akaikabidhi klabu wakati yeye ndiyo Yanga mwenyewe? Kwa hiyo katoa pesa mfuko wa shati akaiweka kwenye mfuko wa suruali? Hizi siasa zimepitwa na wakati ila endeleeni wala hayanihusu kama unavyosema
Nikasirike vipi wakati hayanihusu? Wee timu unayojiita ya kihistoria unajilinganisha na Mamelodi ya juzi isiyo na mizizi ambayo inajulikana haina mashabiki na wamekuwa mara nyingi wanajaribu kuvutia watu viwanjani kwa kuweka viingilio bure. Unadhani walioamua hivyo wamefanya kuwaiga hao Mamelodi. Timu zenye mashabiki inaojua watakuja na watalipa haziweki viingilio bure hata siku moja.Sasa kuna tatizo gani akiamua kufanya hivyo,unacho kasirika sikielewei wakati pesa zake.
Kwa wale walioruruka kwenye viti hawaja pendezwa na matokeo kweli akili ni nywele japo wahenga hawakusema za eneo gani.
Halafu sio mara ya kwanza kwa Yanga,Mamelod na Wydad nusu fainali kiingilio kilikuwa bure.Nyie tajiri yenu mnae mdai bil 20,kila mkipigwa aseme kiingilio kipande cha sabani na MoXtra mzunguko, ukija na Kartoni ya MoXtra pamoja Mche unaingia VIP,hajakatazwa.
Ila tushawazoea wazee wakupinga mpaka visivyo pinging mtazani timu yenu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ikifika ya mwamnyeto mniambie...
Sasa ww unacho lalamika nini......... mashabiki wa Yanga kuingia bure?, kwa hiyo umeumia kwa nini mashabiki wameingia bure.Nikasirike vipi wakati hayanihusu? Wee timu unayojiita ya kihistoria unajilinganisha na Mamelodi ya juzi isiyo na mizizi ambayo inajulikana haina mashabiki na wamekuwa mara nyingi wanajaribu kuvutia watu viwanjani kwa kuweka viingilio bure. Unadhani walioamua hivyo wamefanya kuwaiga hao Mamelodi. Timu zenye mashabiki inaojua watakuja na watalipa haziweki viingilio bure hata siku moja.
Waamue wana fedha!? Tajiri wao unga unga, ndugu muddy, ile Bilioni20 mpaka leo hajatoa...Sasa ww unacho lalamika nini......... mashabiki wa Yanga kuingia bure, kwa hiyo umeumia kwa nini mashabiki wameingia bure.
Mamelod mashabiki anao ila sio wengi kama ilivyo kwa Kaizer au Orlando, ila still akaamua watu kuingia bure, issue ni kuamua nyie kama hamja amua ni nyie.
Hapo msemaji wa yanga kabugi hajatuma akiliGSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi