Sasa kuna tatizo gani akiamua kufanya hivyo,unacho kasirika sikielewei wakati pesa zake.
Kwa wale walioruruka kwenye viti hawaja pendezwa na matokeo kweli akili ni nywele japo wahenga hawakusema za eneo gani.
Halafu sio mara ya kwanza kwa Yanga,Mamelod na Wydad nusu fainali kiingilio kilikuwa bure.Nyie tajiri yenu mnae mdai bil 20,kila mkipigwa aseme kiingilio kipande cha sabani na MoXtra mzunguko, ukija na Kartoni ya MoXtra pamoja Mche unaingia VIP,hajakatazwa.
Ila tushawazoea wazee wakupinga mpaka visivyo pinging mtazani timu yenu.