Mechi ya Yanga vs CR Belouizdad ianze saa tisa Dar kama Mamelodi anavyoruhusiwa kucheza na Waarabu Afrika Kusini

Mechi ya Yanga vs CR Belouizdad ianze saa tisa Dar kama Mamelodi anavyoruhusiwa kucheza na Waarabu Afrika Kusini

Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
Hao jamaa wana vichwa vya kuku ni wepesi kusahau......
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
Huyo mwenye red ayes alichangia goli mbili kwenye zile 5
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
Kolowizards katika uchaa-mbuzi juu ya Yanga SC kama Muimba nyimbo za taarabu au singeli.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
JamiiForums-1072397695.jpg
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
Ajabu wewe ndio thinktank wa makolo
 
Waarabu mchawi wao jua tu

Mamelodi na makali yake.. ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa pretoria.. jua kali...maana anajua jua Waarabu hawaliwezi
Mara nyingi mechi za mwishoni huchezwa muda mmoja kuepusha upangaji wa matokeo.
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??
Mbumbumbu akijaribu kujidhihirisha hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom