Mechi ya Yanga vs CR Belouizdad ianze saa tisa Dar kama Mamelodi anavyoruhusiwa kucheza na Waarabu Afrika Kusini

Mechi ya Yanga vs CR Belouizdad ianze saa tisa Dar kama Mamelodi anavyoruhusiwa kucheza na Waarabu Afrika Kusini

Hata mkiweka saa 7 mchana na mkachezesha majini yenu yanayo fugwa na ashura cheupe mtapigwa tuu
 
Waarabu mchawi wao jua tu

Mamelodi na makali yake ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa Pretoria. Jua kali maana anajua jua Waarabu hawaliwezi.
Mmechoka kutegemea majini sasa mnaomba jua
 
game zote za medeama vs ahly na yanga vs crb
zitaanza mda mmoja, saa moja usiku kuepusha kupanga matokeo!
 
game zote za medeama vs ahly na yanga vs crb
zitaanza mda mmoja, saa moja usiku kuepusha kupanga matokeo!
Sio kweli, Medeama vs Al Ahly itachezwa tarehe 23 huku mechi ya Yanga vs CRB itachezwa tarehe 24
 
Waarabu mchawi wao jua tu

Mamelodi na makali yake ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa Pretoria. Jua kali maana anajua jua Waarabu hawaliwezi.
Mamelodi ashatwaa ndoo hata akipanga anasikilizwa! Nyie ngumbaru walozi mmetwaa nini?
 
Waarabu mchawi wao jua tu

Mamelodi na makali yake ila akiona kapangiwa waarabu tu. Mechi huwa anaweka saa tisa Pretoria. Jua kali maana anajua jua Waarabu hawaliwezi.
Hivi kati ya tz na Algeria wapi kuna jua la maana na wapi kuna joto sana.

Kama ni bongo basi mnahaki ya kufanya hivo
 
Sio kweli, Medeama vs Al Ahly itachezwa tarehe 23 huku mechi ya Yanga vs CRB itachezwa tarehe 24
tar 23 itakuwa ijumaa nakutakuwa na game moja tu kati ya etoul du sahel vs esperence, game nyingine zote zitapigwa mda mmoja siku ya jumamosi tar 24
 
Mzize ana red eyes na ndio striker wenu tegemezi halafu ukamchezeshe kwenye jua ataonaje?? Kwanza hivi mnaelewa maumivu yake?

Halafu labda kama tu utakuwa umesahau

2019 mliwapeleka Pyramids Mwanza CCM Kirumba mechi imechezwa saa 10 jua kali plus pitch mbovu kwa lengo la kuwafanya jamaa wasipige mpira mkubwa.

Mechi iliisha kwa kipigo cha 2-1

Jua halikuweza kuwasaidia.

Unataka mjaribu msimu huu??

2019 kipindi kile cha BAKULI chini ya MWINYI ZAHERA, YANGA hawakua na timu ya ushindani.
Mechi ilipelekwa Kirumba kupunguza magoli tu kama Thimba 5G SC walivyopeleka mechi yao na LAMBALAMBA.
 
Back
Top Bottom