Azam media ni ujinga mkubwa walifanya kumruhusu mlevi mmoja kutukana taasisi,tukio ilo limeonyesha udhaifu mkubwa kwa management ya Azam media chini ya Tido Muhando.
Walipaswa kuieshimu taasisi ya Simba ambayo imekuwa mdau wao wa miaka mingi, Simbasc,imechangia sehemu kubwa kwenye mafanikio ya Azam tv.
bado tuna kumbukumbu aliewahi kuwa mwenyekiti wa club ya Young African SC,bw Yusuph Manji alipokataa kushirikiana na Azam kuonyesha mechi za yanga kwa madai Azam media kutoa pesa kidogo ambazo hadhikidhi mahitaji na ukubwa wa Yanga,madai ambayo yalikuwa ni kweli.
Simba SC ikasimama upande wa Azam media na kukubali kiasi cha pesa kitolewe sawa kwa timu zote shiriki za ligi kuu wakati huo, kwa manufaa ya mpira wa nchi hii.
Kama bado aitoshi Simba SC wakaipatia nafasi Azam kuonyesha matukio ya Simba day toka kipindi inaanzishwa kabla ya timu zingine kuiga idea hio nzuri,bado Simba ikawapa Azam nafasi ya kuonyesha michuano ya club bingwa kwa hatua za awali mechi zote za nyumbani,Simba ilifanya vizuri hivyo kituo cha Azam kuendelea kuwa na biashara nzuri
MO Dewji kupitia Simba ameleta mafanikio makubwa kwenye ligi za mabingwa wa africa kwa vilabu,kufanya vizuri kwa simba kumeongeza nafasi za ushiriki na kuongeza ubora wa ligi yetu,kitendo ambacho kimeipa Azam umaarufu na biashara nzuri kwa watu kununua visimbuzi ili kuangalia ligi yetu,hivyo hawakupaswa kuruhusu mlevi mmoja kuwatukana watu ambao ni washirika wenu kibiashara!!
Nashauli Simbasc ichukue hatua kali ikiwemo kukataa kushirikiana na watu wa Azam media mpaka pale watakapoomba radhi,Simba ni taasisi kubwa lazima ipewe heshima na hadhi zinazo takiwa.