hapo ndipo anapojififichia Hajii ManaraHili neno ulilomwita banadamu mwenzako mlemavu kana kwamba alichagua mwenyewe kuwa hivyo nadhani Mungu ambaye alimuumba hivyo kwa mapenzi yake anakusikia kilio chako cha kutaka hali kama hiyo au changamoto kubwa zaidi. Amin amin nakuambia utayashuhudia kwenye mmoja wa wanafamilia yako ili ujue adha ya kuzaliwa na changamoto
Mtu unaweza kumtania mtu kwa vitu alivyovitengeneza mwenyewe lakini sio vile Mungu alivyovitengeneza. Suala la kitambi ni ugonjwa wa kitabia ambao mtu ameamua awe hivyo kutokana na life style yake lakini tatizo la haji ni la Jinsi alivyoumbwa na hawezi kujilazimisha ata kupaka mwili rangi ili awe sawa na sisi ila kitambi akiamua sekunde kinamomonyokahapo ndipo anapojififichia Hajii Manara
yeye anatukana na kuwasema vibaya watu kwa maumbile yake mfano Mwakalebela alikua anamwita Tumbo kubwa kilo mia nanee
ajabuu waaala nyie watetezi hamsemii
ila akitaniwaa yeyee inakuwa Mungu hapendii
ili uheshimike nawe unapaswa uheshimu wenzakooo
Hivyo hivyo wewe choqoRudia tena kusoma ulichoandika ww mbumbumbu
Sawa wewe choqoSawa mbumbumbu
😀😀🙌Hivyo hivyo wewe choqo
acha ujinga weweNyie simba na mashabiki wa simba ni komeo sana, hili wazo mmekurupuka bila kutumia bongo zenu sawa sawa
Ni watu wangapi wanauwezo wa kumudu DSTV?
Kilichoandikwa hapa ni UTOPOLO classic babyHali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.
Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu
Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga
Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu
Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu
Hujui kitu, nenda DSTV inapatikana mjini tu ila nenda hata huko mahenge kijijini kabisa isyaga watu ni azam tu huwezi kununua DSTV ili uangalie game za kimataifa za simbaacha ujinga wewe
hujui biashara
hata akitokea mtu mmoja kanunua dstv kwa ajili ya simba ni loss kwa mpinzani wake
dstv bei ni 79 k
azam bei ni 100k cha dishi 210 k
sasa uniambie nani mwenye gharama kubwa
dstv kuna vifushi vya 29000 hapo ndio simba tutaangalia mechi zetu
Jidanganyeni tukwa ajili ya simba watu watanunua
Ndio nawaona wajinga sasa maana mtabaki mnatuanhalia Yanga tukifanya Mambo yetuwewe tu unapenda habari za simba
U utapata wapi ?
Punguza matabakabaada ya kumpa mlemavu
Kila la kheri huko muendakoHali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.
Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu
Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga
Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu
Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu