Mechi za Simba SC kuonyeshwa Dstv

Mechi za Simba SC kuonyeshwa Dstv

Ukweli ni kwamba mechi zote za ligi kuu zikiwemo zile za Simba zitaonyeshwa na Azam Tv.

Dstv kama itaingia mkataba na Simba inaweza kuonyesha mechi za Simba day, Simba Super Cup na Game zote za CAF zikiwemo zile za kombe jipya la CAF super cup

Hivyo kibiashara Simba ndio itanufaika maana atakuwa analamba mshiko toka kwa Azam na Dstv pamoja na kuangaliwa Dunia nzima
 
Hili neno ulilomwita banadamu mwenzako mlemavu kana kwamba alichagua mwenyewe kuwa hivyo nadhani Mungu ambaye alimuumba hivyo kwa mapenzi yake anakusikia kilio chako cha kutaka hali kama hiyo au changamoto kubwa zaidi. Amin amin nakuambia utayashuhudia kwenye mmoja wa wanafamilia yako ili ujue adha ya kuzaliwa na changamoto
hapo ndipo anapojififichia Hajii Manara
yeye anatukana na kuwasema vibaya watu kwa maumbile yake mfano Mwakalebela alikua anamwita Tumbo kubwa kilo mia nanee
ajabuu waaala nyie watetezi hamsemii
ila akitaniwaa yeyee inakuwa Mungu hapendii
ili uheshimike nawe unapaswa uheshimu wenzakooo
 
hapo ndipo anapojififichia Hajii Manara
yeye anatukana na kuwasema vibaya watu kwa maumbile yake mfano Mwakalebela alikua anamwita Tumbo kubwa kilo mia nanee
ajabuu waaala nyie watetezi hamsemii
ila akitaniwaa yeyee inakuwa Mungu hapendii
ili uheshimike nawe unapaswa uheshimu wenzakooo
Mtu unaweza kumtania mtu kwa vitu alivyovitengeneza mwenyewe lakini sio vile Mungu alivyovitengeneza. Suala la kitambi ni ugonjwa wa kitabia ambao mtu ameamua awe hivyo kutokana na life style yake lakini tatizo la haji ni la Jinsi alivyoumbwa na hawezi kujilazimisha ata kupaka mwili rangi ili awe sawa na sisi ila kitambi akiamua sekunde kinamomonyoka
 
Nyie simba na mashabiki wa simba ni komeo sana, hili wazo mmekurupuka bila kutumia bongo zenu sawa sawa

Ni watu wangapi wanauwezo wa kumudu DSTV?
acha ujinga wewe
hujui biashara
hata akitokea mtu mmoja kanunua dstv kwa ajili ya simba ni loss kwa mpinzani wake
dstv bei ni 79 k
azam bei ni 100k cha dishi 210 k
sasa uniambie nani mwenye gharama kubwa
dstv kuna vifushi vya 29000 hapo ndio simba tutaangalia mechi zetu
 
Hali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.

Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.

Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu

Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga

Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu

Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu
Kilichoandikwa hapa ni UTOPOLO classic baby
 
dahh nimecheka sana

FB_IMG_1629545088379.jpg
 
acha ujinga wewe
hujui biashara
hata akitokea mtu mmoja kanunua dstv kwa ajili ya simba ni loss kwa mpinzani wake
dstv bei ni 79 k
azam bei ni 100k cha dishi 210 k
sasa uniambie nani mwenye gharama kubwa
dstv kuna vifushi vya 29000 hapo ndio simba tutaangalia mechi zetu
Hujui kitu, nenda DSTV inapatikana mjini tu ila nenda hata huko mahenge kijijini kabisa isyaga watu ni azam tu huwezi kununua DSTV ili uangalie game za kimataifa za simba
 
Hujui kitu, nenda DSTV inapatikana mjini tu ila nenda hata huko mahenge kijijini kabisa isyaga watu ni azam tu huwezi kununua DSTV ili uangalie game za kimataifa za simba
kwa ajili ya simba watu watanunua
 
Hali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.

Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.

Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda vibanda umiza na tutaangalia tu

Enhee si wamemwaga ugali sisi tunakula mboga

Mo hata Dstv wakitoa hela kidogo wewe chukua tu

Mpaka watoke hadharani kutuomba msamaha kwa kumpa nafasi mlemavu
Kila la kheri huko muendako

Azam tv wanataka kuvitoa vilabu vya Tanzania katika utumwa kumbe nyinyi mnapenda utumwa

Dstv wapo miaka mingi kabla ya azam tv mbona hawakutoa pesa kama ambazo sasa azam wanatoa
 
Back
Top Bottom