Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi katika zile dk NNE za nyongeza nikajiaminisha matokeo sare kumbe jamaa wameongeza bao full time 3-2Umezoea kudanganya watu eeenh
Ndio hivyo, Mediama kawafunga Tp mazembe na Yanga kwa pamoja. PoleniMimi katika zile dk NNE za nyongeza nikajiaminisha matokeo sare kumbe jamaa wameongeza bao full time 3-2
yanga ndio timu gani??? au wale bodaboda fc?? au toroli fc au turubai fc?So Yanga imepita..
Nyinyi subirini mtakaposhiriki mwaka 2078.yanga ndio timu gani??? au wale bodaboda fc?? au toroli fc au turubai fc?
Hatuwezi kukubali kuendelea kuwakilishwa na hawa wapumbavu yanga inabidi mwakani waondolewe kabisa...Nyinyi subirini mtakaposhiriki mwaka 2078.
Kwani hujui kwamba mwakani wawakilishi ni sisi ??Hatuwezi kukubali kuendelea kuwakilishwa na hawa wapumbavu yanga inabidi mwakani waondolewe kabisa...
Nyinyi subirini mtakaposhiriki mwaka 2078.
Hatuwezi kukubali kuendelea kuwakilishwa na hawa wapumbavu yanga inabidi mwakani waondolewe kabisa...
Ama kweli nyie ni mambumbumbu.. Kwani hujui kwamba na mwakani mnawakilishwa na Yanga.... Mtasubiri sana, wa mchangani nyieHatuwezi kukubali kuendelea kuwakilishwa na hawa wapumbavu yanga inabidi mwakani waondolewe kabisa...
Mavugo huyo mdembwedo.... subiri ligi ianze ndio utajua namaanisha nini.
Duh umenichekesha sana! Yaani mwaka 2078? [emoji23]
Usiwavunje moyo bhana! wamemleta Mavugo ili nao washiriki Kimataifa sasa unavyosema mwaka 2078 huyo mavugo si atakuwa kibabu?
Yanga wanashindwaje kuendelea kushiriki ikiwa kila msimu wanabeba wao ndoo..?
Au na nyinyi mnajipa imani kuwa Mavugo huyu aliyecheza na URA atawapa ubingwa?
[emoji23]
Mavugo huyo mdembwedo.... subiri ligi ianze ndio utajua namaanisha nini.