lil wayne
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 992
- 904
Alisifiwa sana alivyocheza na AFC LEOPARD (ambai leo huko kwenye ligi ya wamepigwa bao 4 bila).Mavugo huyo mdembwedo.... subiri ligi ianze ndio utajua namaanisha nini.
Nikaona isiwe tabu ngoja nimtazame kwenye game ya URA FC.
Ndipo nikaanza kufananisha perfomance ya chirwa anapokutana na Mabeberu wenzake Kimataifa na huyu aliyekutana na vikaragosi wa Uganda.
HAWANA MCHEZAJI AISEE, HALAFU CHA KUSHANGAZA MASHABIKI WAO WANA EXPECTIONS KUBWA SANA KUTOKA KWAKE. [emoji23]
..... nawaonea huruma sana kama timu yao ikishindwa kushika nafasi ya pili.