Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiuchukulie mpira serious sana na raha ya mpira utani najua unaumia ila Yanga wakitaka kuepuka huu utani wakajipange tena.Ni aibu kwa chombo cha habari cha umma kuchapisha habari kishabiki namna hiiView attachment 3172076
Ndio umeanza kuiona leo!Ni aibu kwa chombo cha habari cha umma kuchapisha habari kishabiki namna hiiView attachment 3172076
Siumii chochote, hii ni media ya umma, inajiingizaje kuitania timu moja? admin amezidisha ushabiki, hana tofauti na yule admin wa Wizara ya Kilimo aliyekuwa anawachapisha picha za warembo na kuwasifia kwenye page ya wizaraMsiuchukulie mpira serious sana na raha ya mpira utani najua unaumia ila Yanga wakitaka kuepuka huu utani wakajipange tena.
Namba hazidanganyiNi aibu kwa chombo cha habari cha umma kuchapisha habari kishabiki namna hiiView attachment 3172076
Yaani huwa wanajifanya ni timu ya TaifaKwani Yanga ni timu ya umma?
Wamefanya vizuri Ili tubadilike mbona wanapotusifia hatulalamiki.Ni aibu kwa chombo cha habari cha umma kuchapisha habari kishabiki namna hiiView attachment 3172076