Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
[emoji16][emoji16][emoji16] ipi hiyo mkuuMimi huwa nasikiliza TBC siwezi kupoteza mda wangu kumsikiliza MTU ambaye hana hata Diploma ya Journalism au Mass Com.
Kwanza hawana Content juzi kuna radio wali copy thread yng hapa JF ikawa ndio topic of the day watu wakawa wanapiga simu kuchangia idea ya thread yng nikatamani niwafungulie Kesi sema nilikosa mwanasheria.
Kumbe Jf nao wanapitaga wale wa media😀 😀
Thread au redio?redio sitaitaja ila walikuwa wanajadili kuhusu huu Uzi
Hivi hata hii lugha ya Kiswahili tunayoingea yenyewe imekopi maneno mengi kutoka lugha mbali mbali, unafikiri idea gani haijatokana na idea nyingine?Alafu wanakopi hadi muda wa kurusha kipindi sijui wanawazaga nini hawa maandazi
sawa sawaHakuna wa kumuabudu, hizo zilikuwa enzi hizo. Muhimu ni kuchambua kipi kizuri na kinakidhi hitaji lako maana, "dunia sinia pakua unachoweza" labda kama uniambie una aleji na kila mlo toka kwa wapishi wa maudhui ya habari.
Kama ambavyo, wadhamini ama makampuni yanayotangaza biashara, yenyewe yanachagua ama kwa kushauriwa pia na wataalamu wa masoko wanaweza dhamini segment tu ya kipindi nawe nakushauri waweza sikiliza segment tu kama wapenda au kipindi kizima.
Dunia ya sasa, kwenye biashara hatutafuti upekee maana ni soko huria haupo peke yako bali utofauti maana unaweza fanya zaidi ya mwenzako na si lazma kuwe na utofauti mkubwa, kama ambavyo kinachofanya wenye iPhone waringe ni logo ya apple kabla ya mengine.
Tukitafuta original idea hakuna, hata Fiesta ambayo ilibadilishwa jina tu kutoka Summer Jam ya kibongo ni idea iliyotoka Marekani enzi hizo music festival iliyokuwa inabamba ni Summer Jam.
Hapo Kwenye The Story Book Kuna kisegment cha Clouds Kilikuwa Kinaitwa "Je Wajua" walikuwa wanaelezea historia za Vitu Km Tu Hyo The Story Book ya Hao wasafi. Tena hyo Segment ilikuwa ya kwenye Clouds 360 kila Asubuhi
Ukweli Usemwe. Wasafi wameshindwa Kuleta Stuffs mpya kwa Market. Wanacopy Kwa Kuwa Wamekaa Kimashindano Zaidi. Focus Yao ni kumpiku Clouds. Nothing Else. Na ndo maana wanachkua presenters from other stations ili Tu kufill the Void.
Ila Kwa Brand waliyonayo wanaeza wakaleta vitu Vipya kwa market na watu wakavipokea.
Na vitu Vipya Vipo ila kwa Kuwa wanataka mashindano wanapita mulemule. Imagine kwenye Hii Dunia ambayo Bongo Fleva na muziki From outside umeshika hatamu unatumia 3-4 hours unacheza Nyimbo za Taarabu. Kweli? With what Audience? Vijana wengi ambao ndo wasikilizaji wakuu hatupo huko.
Ntaishia hapa kwa Leo.
Wasafi wana kipindi chaitwa story book, haya tuambie wameiba wapi?
Nafikiri ifike mahali angalau ungechambua kipindi hata kimoja ili uone tofauti na ubunifu uliopo si kuorodhesha vingi ili uonekane mchambuzi mzuri.
Nikupe mfano, kuna segment kwenye block 89 inaitwa group admin, haya niambie inafananaje na segment iliyopo XXL kuanzia jina na content wise?
Hizi kelele tumshazisikia mtaani na kwa washabiki, wewe usipoleta upembuzi makini tutakuona wale wale.
mbari mbari ndio kitu gani..?Kichwa cha habari mbona hakiendani na yaliyomo. Nilitegemea utashusha list ya izo media mbari mbari zilizo copy na ku paste, ila nme ona ni zile zile za Clouds vs Wasafi.
Bongo kuna media mbili tu?
Sent using Jamii Forums mobile app